• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:10 PM

DJ Joe Mfalme kuzuiliwa siku 14 katika kesi ya mauaji ya polisi

NA RICHARD MUNGUTI MCHEZA santuri Joseph Mwenda Munoru almaarufu DJ Joe Mfalme aliyekamatwa pamoja na watu wengine sita kwa kwa mauaji...

Gachagua amwomba msamaha Mama Ngina Kenyatta

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua mnamo Jumatatu Machi 25, 2024 alimwomba msamaha mamake Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta, Mama...

Waislamu washauriwa kudumisha maadili

ABDULRAHMAN SHERIFF Na KARIM RAJAN WAUMINI wa Kiislamu nchini Kenya wametakiwa kuzingatia mafundisho ya dini, wakihimizwa kwamba...

Kindiki- Zaidi ya baa na vilabu 18, 000 vimefungwa

NA WYCLIFFE NYABERI SERIKALI imefunga vilabu 18, 650 vya kuuza vileo katika vita vinavyoendelea dhidi ya pombe haramu na dawa za...

Washukiwa 12 mbaroni kwa kupatikana na chang’aa

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA 12 walikamatwa wakati wa msako dhidi ya pombe haramu na maduka ya kuuza vileo yasiyo na leseni mwishoni mwa...

Mauaji ya NPR Lamu yafufua makovu kwa wakazi  

NA KALUME KAZUNGU MAUAJI ya hivi punde ya askari wawili wa akiba (NPR) katika kijiji cha Ziwa La Taa, tarafa ya Witu, Kaunti ya Lamu...

Siasa za Nyanza, Opiyo Wandayi akipendekezwa kumrithi Raila Odinga

NA RUSHDIE OUDIA BAADHI ya washirika wa kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, kutoka eneo la Nyanza, wameanza kumpendekeza...

Tahadhari: Samaki kuwa adimu, mazingira Ziwa Victoria yakiendelea kuchafuliwa 

GEORGE ODIWUOR Na WANDERI  KAMAU WAVUVI kutoka eneo la Nyanza wanalalamikia kupungua kwa kiwango kikubwa kwa samaki katika Ziwa...

Mpango wa Charlene Ruto kusaidia kuzima uhuni Pokot Magharibi 

NA OSCAR KAKAI. VIJANA katika Kaunti ya Pokot Magharibi, wanatarajiwa kunufaika kutokana na mpango maalum kuwapa ushauri nasaha kuhusu...

Ruto kufadhili kampeni ya Raila kutwaa uenyekiti AUC

NA JUSTUS OCHIENG SERIKALI inapanga kuanzisha afisi na kutenga bajeti ya kumsaidia kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga...

HELB na KUCCPS kufutiliwa mbali kwenye mswada mpya

NA DAVID ADUDA BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELB) na Halmashauri ya Kuwateua Wanafunzi Kujiunga na Vyuo Vikuu na Vyuo Anuwai...

Rachel Ruto: Serikali itabuni kikosi kuombea polisi watakaotumwa Hati

NA WANDERI KAMAU MKEWE Rais William Ruto, Bi Rachel Ruto, ametangaza kwamba serikali itabuni kikosi maalum cha maombi, kwa lengo la...