• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Serikali kushirikiana na kaunti kugatua mafunzo ya NYS

NA JOSEPH OPENDA SERIKALI ya Kitaifa imeanzisha ushirikiano na kaunti mbalimbali ili kuendeleza mafunzo ya Shirika la Huduma za Vijana...

Taita Taveta yalia miradi ya serikali kuu kukwama

NA LUCY MKANYIKA UJENZI wa barabara ya Mto Mwagodi-Msau-Mbale-Werugha-Mgange-Bura ya kilomita 54 umekoma, licha ya serikali kuhakikishia...

Amerika yakataza raia wake kuanikia wezi mapambo ya thamani

KEVIN CHERUIYOT Na CHARLES WASONGA AMERIKA imewataka raia wake nchini kuwa waangalifu kufuatia ongezeko la visa vya uhalifu...

IEBC: Mswada wa kuajiri marefarii wa uchaguzi watua bungeni

NA CHARLES WASONGA MSWADA utakaofanikisha kuteuliwa kwa mwenyekiti na makamishna wapya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC),...

Wizara yatoa taarifa kufuatia ajali iliyohusisha wanafunzi wa Kapsabet Boys

NA WANDERI KAMAU SERIKALI mnamo Jumamosi ilisema kuwa zaidi ya wanafunzi 10 wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Kapsabet waliohusika katika...

Wafanyabiashara walia kuumizwa na ushuru, ukatili wa kanjo

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amekiri kwamba Mamlaka ya Ushuru Nchini (KRA) na ile ya kupambana na bidhaa feki (CA)...

Maelfu waachwa bila ajira Remotasks ikisimamisha shughuli zake Kenya

NA WANDERI KAMAU KAMPUNI maarufu ya kutoa kazi za uandishi za mitandaoni, Remotasks, imesimamisha shughuli zake nchini Kenya. Taifa...

Nyeri: Wafanyakazi wa kaunti waagizwa kufunga baa zao

NA MERCY MWENDE WAFANYAKAZI wa kaunti ya Nyeri wanaomiliki baa wamepewa notisi ya wiki moja kufunga biashara zao. Akizungumza Ijumaa...

Mfanyabiashara akiri kumlawiti mwanamume mwenzake

NA TITUS OMINDE MFANYIBIASHARA mmoja mwenye umri wa miaka 46 amekiri mbele ya mahakama ya Eldoret kwamba alimlawiti mwanamume...

AUC: Mbele iko sawa kwa Raila

NA AGGREY MUTAMBO AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika...

Serikali yaunda mfumo wa uchimbaji madini mbugani

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI imeanzisha mchakato wa kuunda mfumo wa kina wa kuwapa wachimbaji migodi nafasi ya kuchimba katika mbuga za...

Jowie awasilisha notisi ya kukata rufaa

NA RICHARD MUNGUTI JOSEPH Irungu almaarufu Jowie, aliyehukumiwa kifo kwa kosa la kumuua Monicah Kimani, amewasilisha notisi ya kukata...