NA ALEX KALAMA MHUBIRI wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie na wenzake walioshtakiwa pamoja naye kwa makosa 191 ya mauaji...
NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA watano wamekamatwa Alhamisi kwenye msako ulioendeshwa asubuhi dhidi ya pombe haramu. Akithibitisha, Naibu...
NA JURGEN NAMBEKA WAKULIMA wa korosho katika Kaunti ya Lamu wanatarajia kufaidika na mpango wa kujenga kiwanda cha korosho eneo hilo. Hii...
NA WYCLIFFE NYABERI SPIKA wa Seneti Amason Kingi ameteua kamati maalum ya maseneta 11 kuchunguza ripoti kutokana na hoja iliyopitishwa...
NA MARY WANGARI WENYEJI na wakazi wa Kaunti ya Taita Taveta huenda wakalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya kupata huduma za afya...
NA CHARLES WASONGA TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza madai kwamba baadhi ya mameneja wanaohudumu katika Bodi ya...
NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Utumishi wa Umma Moses Kuria, ameonyesha wazi kwamba anatamani sana kuwa na umaarufu alio nao kiongozi wa...
NA MERCY KOSKEI MNAMO Jumatano, makachero kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) waliupata mwili wa mwanamke ukiwa umeoza...
NA MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Haiti Ariel Henry alitua Puerto Rico Jumanne jioni na hivyo kuondoa wasiwasi kuhusu aliko baada ya ziara...
NA NYABOGA KIAGE KANISA la Askofu Margaret Wanjiru wa Jesus is Alive Ministries limebomolewa kufuatia mzozo wa umiliki wa ardhi kati ya...
NA JESSE CHENGE POLISI wa kupambana na ghasia (GSU) ametiwa mbaroni kwa kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi wa umri wa miaka 17 eneo la Mt...
NA RICHARD MUNGUTI MSANII John Matara, ambaye alishtakiwa kwa mauaji ya Starlet Wahu, amefikishwa kortini tena kwa mashtaka ya wizi wa...