• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:47 PM

Mackenzie aomba apunguziwe mashtaka kutoka 191 hadi 12

NA ALEX KALAMA MHUBIRI wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie na wenzake walioshtakiwa pamoja naye kwa makosa 191 ya mauaji...

Washukiwa watano wakamatwa Mukuru, maafisa waharibu lita 341 za pombe haramu

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA watano wamekamatwa Alhamisi kwenye msako ulioendeshwa asubuhi dhidi ya pombe haramu. Akithibitisha, Naibu...

Wakulima wa korosho kufaidi kwa kiwanda kipya

NA JURGEN NAMBEKA WAKULIMA wa korosho katika Kaunti ya Lamu wanatarajia kufaidika na mpango wa kujenga kiwanda cha korosho eneo hilo. Hii...

Hatima ya Dkt Monda kuamuliwa na kamati maalum ya Seneti

NA WYCLIFFE NYABERI  SPIKA wa Seneti Amason Kingi ameteua kamati maalum ya maseneta 11 kuchunguza ripoti kutokana na hoja iliyopitishwa...

Hospitali tegemeo Taita Taveta zaugua kwa kukosa vitengo vya ICU, mitambo ya oksijeni

NA MARY WANGARI WENYEJI na wakazi wa Kaunti ya Taita Taveta huenda wakalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya kupata huduma za afya...

NG-CDF yamulikwa kwa wasimamizi kuwa na vyeti ghushi

NA CHARLES WASONGA TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza madai kwamba baadhi ya mameneja wanaohudumu katika Bodi ya...

Moses Kuria amezea mate umaarufu wa Raila

NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Utumishi wa Umma Moses Kuria, ameonyesha wazi kwamba anatamani sana kuwa na umaarufu alio nao kiongozi wa...

Mwanamume aishi na maiti ya dadake kusubiri afufuke

NA MERCY KOSKEI MNAMO Jumatano, makachero kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) waliupata mwili wa mwanamke ukiwa umeoza...

Waziri Mkuu wa Haiti ‘ahepea’ Puerto Rico

NA MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Haiti Ariel Henry alitua Puerto Rico Jumanne jioni na hivyo kuondoa wasiwasi kuhusu aliko baada ya ziara...

Bomoabomoa sasa zamfikia pia Askofu Margaret Wanjiru

NA NYABOGA KIAGE KANISA la Askofu Margaret Wanjiru wa Jesus is Alive Ministries limebomolewa kufuatia mzozo wa umiliki wa ardhi kati ya...

GSU motoni kwa kunyemelea msichana wa shule

NA JESSE CHENGE POLISI wa kupambana na ghasia (GSU) ametiwa mbaroni kwa kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi wa umri wa miaka 17 eneo la Mt...

John Matara ashtakiwa kwa wizi wa mabavu, ubakaji

NA RICHARD MUNGUTI MSANII John Matara, ambaye alishtakiwa kwa mauaji ya Starlet Wahu, amefikishwa kortini tena kwa mashtaka ya wizi wa...