NA SAMMY KIMATU SERIKALI imemsaidia mama mlemavu aliye na watoto sita kurejesha mali ya thamani ya zaidi ya Sh2 milioni iliyokuwa...
NA TITUS OMINDE SERIKALI mnamo Jumanne imebatilisha leseni zote za viwanda vinavyotengeneza pombe ya bei nafuu, hadi vitakapokaguliwa...
NA RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 21 ambao inadaiwa waliharibu ua wa kuingia kwa shamba la kibinafsi mjini Naivasha kuzuiliwa kwa siku...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto Jumanne aliomba msamaha kwa kuvunja sheria na kanuni za bunge licha ya kwamba amewahi kuhudumu kama...
DANIEL OGETTA Na KEVIN CHERUIYOT HUENDA marubani wa ndege zilizogongana Jumanne jijini Nairobi walipuuza maagizo ya waelelekezi wa ndege...
NA SAM KIPLAGAT JAJI Mkuu Martha Koome ameteua jopo la majaji watatu ambao watasikiliza kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga Sheria ya...
NA RICHARD MUNGUTI MHUBIRI ameshtakiwa kwa kumlaghai mshirika wake zaidi ya Sh2.6 milioni alizodai angeziwekeza katika biashara ya...
NA RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 21 akiwamo mwanaharakati Bernard Macharia Mwangi, wamezuiliwa katika kituo cha polisi cha Lang’ata kwa...
NA SAMMY KIMATU WATU watatu walifariki katika kisa cha moto uliotokea Jumapili ambapo waliteketea kiasi cha kutotambulika kwa njia ya...
NA WINNIE ONYANDO WANAOMILIKI vilabu na baa wameombwa kushirikiana na maafisa wa polisi ili kusaidia kudhibiti uuzaji wa pombe...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amesema marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuunga mkono...
NA DANIEL OGETTA POLISI wanachunguza ajali ya ndege mbili zilizogongana juu hewani Jumanne asubuhi jijini Nairobi. Ndege ya...