• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Serikali yamsaidia mama mlemavu kurudisha mali ya Sh2m

NA SAMMY KIMATU SERIKALI imemsaidia mama mlemavu aliye na watoto sita kurejesha mali ya thamani ya zaidi ya Sh2 milioni iliyokuwa...

Wanafunzi 12 Eldoret washtakiwa kwa kubugia pombe haramu

NA TITUS OMINDE SERIKALI mnamo Jumanne imebatilisha leseni zote za viwanda vinavyotengeneza pombe ya bei nafuu, hadi vitakapokaguliwa...

Washukiwa 21 wa uvamizi wa shamba la kibinafsi kuzuiliwa siku tano

NA RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 21 ambao inadaiwa waliharibu ua wa kuingia kwa shamba la kibinafsi mjini Naivasha kuzuiliwa kwa siku...

Rais Ruto apiga makofi badala ya kutikisa mguu

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto Jumanne aliomba msamaha kwa kuvunja sheria na kanuni za bunge licha ya kwamba amewahi kuhudumu kama...

Jinsi ndege mbili zilivyogongana jijini

DANIEL OGETTA Na KEVIN CHERUIYOT HUENDA marubani wa ndege zilizogongana Jumanne jijini Nairobi walipuuza maagizo ya waelelekezi wa ndege...

Koome awateua majaji watatu kusikiliza kesi inayopinga sheria za afya

NA SAM KIPLAGAT JAJI Mkuu Martha Koome ameteua jopo la majaji watatu ambao watasikiliza kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga Sheria ya...

Pasta ashtakiwa kula Sh2.6m za muumini kwa dili ya ng’ombe

NA RICHARD MUNGUTI MHUBIRI ameshtakiwa kwa kumlaghai mshirika wake zaidi ya Sh2.6 milioni alizodai angeziwekeza katika biashara ya...

Washukiwa wa uvamizi wa shamba Naivasha wazuiliwa Nairobi

NA RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 21 akiwamo mwanaharakati Bernard Macharia Mwangi, wamezuiliwa katika kituo cha polisi cha Lang’ata kwa...

Watu watatu waangamia katika mkasa wa moto South B

NA SAMMY KIMATU WATU watatu walifariki katika kisa cha moto uliotokea Jumapili ambapo waliteketea kiasi cha kutotambulika kwa njia ya...

Wanaomiliki baa wahimizwa kushirikiana na polisi kudhibiti pombe haramu

NA WINNIE ONYANDO WANAOMILIKI vilabu na baa wameombwa kushirikiana na maafisa wa polisi ili kusaidia kudhibiti uuzaji wa pombe...

Raila ana sapoti ya marais wa EAC, Ruto afichulia wabunge EALA

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amesema marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuunga mkono...

Watu wawili waaga dunia kufuatia ajali ya ndege mbili jijini Nairobi

NA DANIEL OGETTA POLISI wanachunguza ajali ya ndege mbili zilizogongana juu hewani Jumanne asubuhi jijini Nairobi. Ndege ya...