• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 1:14 PM

Tanzania yapata treni za umeme, Kenya ikisukuma maisha na za kizamani

MWANANCHI Na CHARLES WASONGA SHUGHULI za uchukuzi kwa treni za kutumia umeme zikitarajiwa kuanza rasmi nchini Tanzania kuanzia Julai...

Muturi aonya KRA kuhusu ushuru wa nyumba

NA BONFACE OTIENO MWANASHERIA Mkuu Justin Muturi ameionya Mamlaka ya Ushuru nchini (KRA) dhidi ya kuendelea kukusanya ushuru wa ujenzi wa...

Shahidi katika kesi ya mauaji adai Jumwa alimlima makonde

NA BRIAN OCHARO SHAHIDI katika kesi kuhusu mauaji ya mfuasi wa Chama cha ODM, Jola Ngumbao, amesimulia madai ya jinsi Waziri wa Jinsia...

Wakenya sasa wanachukua mikopo kununua chakula nyumbani

PATRICK ALUSHULA na NINA SHABAN WAKENYA sasa wanachukua mikopo midogo midogo ya kununua chakula na kutimiza mahitaji mengine ya kimsingi...

Mmiliki wa kiwanda cha gesi ya janga aachiliwa kwa dhamana

NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kiwanda cha gesi iliyolipuka na kusababisha maafa Embakasi ameachiliwa kwa dhamana huku maafisa wa Mamlaka...

Saba wafariki Nigeria wakipigania mchele

NA MASHIRIKA ABUJA, NIGERIA WATU saba walifariki na wengine kujeruhiwa Nigeria kwenye mkanyagano waking’ang’ania mchele wa bei...

Mihadarati: Gavana Nassir atofautiana na Gachagua

NA VALENTINE OBARA GAVANA wa Mombasa, Bw Abdulswamad Nassir, amekosoa msimamo wa Naibu Rais Rigathi Gachagua kuhusu kujitolea kwa kaunti...

Usajili wa kidijitaji waja kufagia wafanyakazi hewa

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Utumishi wa Umma Moses Kuria ametangaza kuwa serikali itaendesha usajili kwa njia ya kidijitali wa watumishi...

Pasta Ezekiel alivyomtetemesha mwenzake Benny Hinn kwa kutoa Sh14.6m

NA WANDERI KAMAU PASTA Ezekiel Odero wa kanisa la New Life Prayer Centre, Kilifi, alitoa mchango wa Sh14.6 milioni wakati mkutano wa...

Ombi la kutaka kuzika mwili uliokaa mochari miaka 10 lapingwa

NA BRIAN OCHARO MJANE wa marehemu Harry Roy Veevers aliyekuwa bwanyenye raia wa Uingereza na binti zake wawili, wamepinga ombi la wana...

Wanaume watazama taarifa mjini wanawake wakienjoi ‘Soap Opera’ majumbani

NA KALUME KAZUNGU KILA jioni utapata wanaume wakikongamana katika eneo la umma la Mkunguni kutazama taarifa za habari kupitia skrini...

Wazazi sasa watoa watoto shule za kibinafsi kwa kulemewa na uchumi

MERCY SIMIYU NA DAVID MUCHUNGUH MAMIA ya wazazi wamehamisha watoto wao kutoka shule za kibinafsi na kuwapeleka shule za umma kutokana na...