• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 12:11 PM

Polisi amuua askari jela katika duka la pombe ya makali

NA EVANS JAOLA HALI ya wasiwasi ilizuka mjini Kitale, Jumanne jioni, baada ya polisi wa utawala wa kiwango cha konstebo kumpiga risasi...

Pokot Magharibi yamwaga kitita cha Sh600m kupiga jeki elimu

NA OSCAR KAKAI ZAIDI ya wanafunzi 44,000 wamenufaika na fedha za ufadhili wa elimu kwa hisani ya serikali ya Kaunti ya Pokot...

Kevin Kang’ethe afuta mawakili, apunguza mbio za kumsafirisha Marekani

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Ingonga ameeleza mahakama ya Milimani, Nairobi kwamba amekamilisha...

Elimu, kilimo kutengewa fedha zaidi kwenye bajeti ijayo

NA TITUS OMINDE SEKTA ya elimu inatazamiwa kupata sehemu kubwa ya mgao wa bajeti ya kitaifa ya Sh4.2 trilioni kwa mwaka wa kifedha wa...

Zaidi ya 10 waangamia katika ajali mbaya barabara ya Kitui-Machakos

Na KITAVI MUTUA ZAIDI ya abiria 10 wamefariki papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani katika eneo la...

Boma la mpinzani wa Gavana Ken Lusaka lavamiwa

NA JESSE CHENGE POLISI katika Kaunti ya Bungoma wanachunguza kisa ambapo kundi la majambazi wasiojulikana walivamia boma la mwanasiasa...

Kalonzo astaafu siasa Raila akielekea AUC – Wanjigi

NA JUSTUS OCHIENG MWANASIASA na mfanyabiashara Jimi Wanjigi amedai kuwa azma ya kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga kuwa...

Waziri Mvurya ahimiza Wanakwale kuchangamkia elimu kufukuza umaskini

NA KNA WAZIRI wa Madini, Uchumi wa Baharini na Ubaharia, Bw Salim Mvurya, amewataka wakazi wa Kwale kuichangamkia elimu na kuitambua...

Senata ataka Raila aombe Rais Ruto msamaha akisaka wadhifa mkuu AUC

NA TITUS OMINDE SENETA wa Nandi Samson Cherargei anamtaka kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuahidi uaminifu wake kwa Rais William Ruto...

Waislamu 5,000 kufurahia msaada wa chakula Ramadhan

NA CECIL ODONGO RAMADHAN ya mwaka huu inapokaribia, Zakat Kenya na Benki ya Premier, Jumapili, Februari 25, 2024 ziliandaa matambezi ya...

Kaunti tajiri zashindwa sasa kulipa madeni yao

NA BRIAN AMBANI KAUNTI za Kiambu, Nairobi, Narok na Kajiado ni miongoni mwa kaunti tajiri zinazotumia pesa chache zaidi kulipa madeni...

Idah Odinga apendekeza John Mbadi kumrithi Raila

NA JUSTUS OCHIENG MKEWE kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, Bi Idah Odinga amemwidhinisha Mbunge Maalum John Mbadi kuwa mrithi...