• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:07 PM

Waislamu 5,000 kufurahia msaada wa chakula Ramadhan

NA CECIL ODONGO RAMADHAN ya mwaka huu inapokaribia, Zakat Kenya na Benki ya Premier, Jumapili, Februari 25, 2024 ziliandaa matambezi ya...

Kaunti tajiri zashindwa sasa kulipa madeni yao

NA BRIAN AMBANI KAUNTI za Kiambu, Nairobi, Narok na Kajiado ni miongoni mwa kaunti tajiri zinazotumia pesa chache zaidi kulipa madeni...

Idah Odinga apendekeza John Mbadi kumrithi Raila

NA JUSTUS OCHIENG MKEWE kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, Bi Idah Odinga amemwidhinisha Mbunge Maalum John Mbadi kuwa mrithi...

Wakenya ni miongoni mwa 25 waliofariki katika ajali Tanzania

NA LABAAN SHABAAN WAKENYA ni miongoni mwa watu 25 waliofariki katika ajali Arusha, nchini Tanzania. Ajali hiyo ilitokea saa kumi na...

Zamu ya wakulima kunyolewa kupitia ushuru  

NA BARNABAS BII WAKULIMA sasa wataonja makali ya ulipaji ushuru kidijitali, baada ya Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru (KRA) kuwataka watumie...

Shule yatoa hamasisho kuepusha watoto kuuawa mtaani

NA FRIDAH OKACHI SIKU chache baada ya kisa cha kushangaza ambapo mtoto mmoja alirushwa na mwenzake kutoka juu ghorofani na kuaga dunia...

Popo wafukuza wanajamii kutumia ukumbi wa Mkunumbi

NA KALUME KAZUNGU UKUMBI wa kijamii wa Mkunumbi ulioko Lamu Magharibi ulipojengwa mwaka 2013, furaha ilisheheni miongoni mwa wakazi ambao...

Sakaja aagiza pombe ya makali kuondolewa kwa steji za matatu

NA HILLARY KIMUYU GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amemwagiza Afisa Mkuu wa Usalama katika Kaunti Tony Kimani, kuhakikisha kwamba maduka...

Hakuna senti hata moja ya Kiptum itakayopotea – Serikali

NA CAROLINE WAFULA SERIKALI imeihakikishia familia ya Mshikilizi wa Mbio za Marathon, marehemu Kelvin Kiptum, na mashabiki wake kwamba...

Raia Madagascar kuendelea kuzongwa na umaskini – Ripoti

NA MASHIRIKA ANTANANARIVO, MADAGASCAR BENKI ya Dunia imeonya viwango vya umaskini nchini Madagascar vitaendelea kuongezeka baada ya...

Mradi wa choo na Wi-Fi wapingwa Mukuru-Fuata Nyayo

NA SAMMY KIMATU MRADI wa serikali unaonuiwa kupiga jeki vijana kimapato na kufaidi zaidi ya watu 20,000 katika mtaa wa mabanda wa...

Mvulana auawa kwa kupigwa risasi na majangili Pokot Magharibi

NA OSCAR KAKAI TAHARUKI inaendelea kutanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Turkana baada ya mvulana wa umri wa miaka 12...