NA SAMMY KIMATU MRADI wa serikali unaonuiwa kupiga jeki vijana kimapato na kufaidi zaidi ya watu 20,000 katika mtaa wa mabanda wa...
NA OSCAR KAKAI TAHARUKI inaendelea kutanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Turkana baada ya mvulana wa umri wa miaka 12...
JOSEPH OPENDA Na KENNEDY KIMANTHI KONGAMANO Kuu la nne la Nation kuhusu masuala ya kidijitali limekamilika kwa wito kwa Wakenya kujiandaa...
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA imeamuru mtunzaji wa bwawa la kuogelea katika Shule ya Msingi ya Visa Oshwal azuiliwe ili kuhojiwa na polisi...
NA LUCY MKANYIKA KATIKA miaka ya awali, Kaunti ya Taita Taveta ilikuwa ikilisha eneo la Pwani na maeneo mengine, kwa kutoa mazao safi kwa...
CAROLINE WAFULA NA FRIDAH OKACHI MWANARIADHA Kelvin Kiptum alikuwa akipanga harusi ya kupendeza ili kurasimisha ndoa yake na mkewe...
NA RICHARD MUNGUTI ASKOFU anayedaiwa kuwapora Wakenya 50,000 zaidi ya Sh1 bilioni akidai ni kuwekeza katika biashara ya ujenzi wa nyumba,...
NA SAM KIPLAGAT SERIKALI sasa iko huru kuzindua vitambulisho vya kitaifa vya kidijitali, baada ya mahakama kuondoa agizo lililositisha...
PETER MBURU Na CHARLES WASONGA KWA upande mmoja serikali ikiendelea kulaumiwa kwa kuwabebesha Wakenya mzigo mzito wa ushuru, upande huo...
NA TITUS OMINDE WINGU la simanzi limetanda katika boma la marehemu mwanariadha Kelvin Kiptum eneo la Chepsamo safari yake ya mwisho...
NA PETER CHANGTOEK BAADHI ya wakulima wanaokuza viazi katika eneo la Turbo, Kaunti ya Uasin Gishu, wanalia kwa kupata hasara kubwa baada...
NA WANDERI KAMAU UCHUMI wa Tanzania umetabiriwa kukua kuliko chumi za Kenya na Uganda mwaka huu 2024. Kulingana na ripoti iliyotolewa...