NA STEPHEN MUNYIRI WALEVI wanatoka Kaunti Kirinyaga wameanza kufurika katika baa na vilabu mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri kukata kiu yao...
CHARLES WASONGA Na ANGELINE OCHIENG WATU wawili zaidi wameaga dunia kufuatia majeraha waliopata wakati wa ajali iliyotokea eneo la...
NA LUCY MKANYIKA BUNGE la Kaunti ya Taita Taveta limeunda kamati maalum ya kuchunguza madai ya ukiukaji wa maadili yanayomkabili Waziri...
NA TITUS OMINDE JUHUDI za mwanamke wa umri wa miaka 22 kupinga mazishi ya mwanariadha Kelvin Kiptum ziligonga mwamba baada ya mahakama...
NA RICHARD MUNGUTI WACHUUZI wanne wameshtakiwa kwa kuuzia wateja dawa ya kuua mende ambayo haijaidhinishwa na serikali. Watson Mwangi...
NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa Azimio La Umoja-One Kenya Jumatano alasiri waliondoka bungeni kwa hasira baada ya marekebisho...
NA STANLEY NGOTHO POLISI katika eneo la Loitoktok, Kaunti ndogo ya Kajiado Kusini, waliwazuia wahamiaji 90 wakiwemo watoto kutoka Nairobi...
NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu sasa inadai kucheleweshwa kwa fidia ya vipande vyao vya...
STEVE OTIENO Na CHARLES WASONGA MAMLAKA Usambazaji Vifaa vya Matibabu Nchini (Kemsa) imemsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa Ununuzi...
NA BRIAN OCHARO WANAWAKE wawili wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na ulanguzi wa watoto baada ya kushindwa kutoa taarifa za msingi kuhusu...
NA WYCLIFFE NYABERI KIZAAZAA kilishuhudiwa katika mabunge ya kaunti za Kisii na Laikipia mnamo Jumatano madiwani wa kaunti hizo...
NA CHARLES WASONGA IMEFICHUKA kuwa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) imelipa Sh466 milioni kama mishahara kwa walimu-hewa ndani ya kipindi...