• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:07 PM

Walevi Kirinyaga wafurika Nyeri baa zao zikifungwa

NA STEPHEN MUNYIRI WALEVI wanatoka Kaunti Kirinyaga wameanza kufurika katika baa na vilabu mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri kukata kiu yao...

Walioangamia katika ajali Nyakach sasa ni tisa

CHARLES WASONGA Na ANGELINE OCHIENG WATU wawili zaidi wameaga dunia kufuatia majeraha waliopata wakati wa ajali iliyotokea eneo la...

Kamati yabuniwa kuchunguza madai dhidi ya waziri wa Ardhi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA BUNGE la Kaunti ya Taita Taveta limeunda kamati maalum ya kuchunguza madai ya ukiukaji wa maadili yanayomkabili Waziri...

Juhudi za mwanamke kusimamisha mazishi ya Kiptum zagonga mwamba

NA TITUS OMINDE JUHUDI za mwanamke wa umri wa miaka 22 kupinga mazishi ya mwanariadha Kelvin Kiptum ziligonga mwamba baada ya mahakama...

Wachuuzi wanne washtakiwa kuuza dawa ‘feki’ ya kuua mende

NA RICHARD MUNGUTI WACHUUZI wanne wameshtakiwa kwa kuuzia wateja dawa ya kuua mende ambayo haijaidhinishwa na serikali. Watson Mwangi...

Mswada wa nyumba: Azimio watishia kurejelea maandamano, kuelekea mahakamani

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa Azimio La Umoja-One Kenya Jumatano alasiri waliondoka bungeni kwa hasira baada ya marekebisho...

Polisi Kenya wanyaka raia wa Ethiopia wakiingizwa TZ kiharamu

NA STANLEY NGOTHO POLISI katika eneo la Loitoktok, Kaunti ndogo ya Kajiado Kusini, waliwazuia wahamiaji 90 wakiwemo watoto kutoka Nairobi...

Kucheleweshwa fidia ndio chanzo cha mikosi katika ujenzi wa barabara – Wazee

NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu sasa inadai kucheleweshwa kwa fidia ya vipande vyao vya...

Kemsa yampiga kalamu kaimu mkurugenzi wa ununuzi

STEVE OTIENO Na CHARLES WASONGA MAMLAKA Usambazaji Vifaa vya Matibabu Nchini (Kemsa) imemsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa Ununuzi...

Mama, meidi wake wanyakwa kwa kukosa taarifa msingi za mtoto wa siku mbili

NA BRIAN OCHARO WANAWAKE wawili wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na ulanguzi wa watoto baada ya kushindwa kutoa taarifa za msingi kuhusu...

Madiwani Kisii, Laikipia washikana mashati

NA WYCLIFFE NYABERI KIZAAZAA kilishuhudiwa katika mabunge ya kaunti za Kisii na Laikipia mnamo Jumatano madiwani wa kaunti hizo...

TSC yalipa Sh466m kwa walimu-hewa, yasema inajikaza kuzikomboa

NA CHARLES WASONGA IMEFICHUKA kuwa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) imelipa Sh466 milioni kama mishahara kwa walimu-hewa ndani ya kipindi...