• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 4:33 PM

E-Citizen yaigeuza Kenya mnara wa Babeli

NA WANDERI KAMAU HATUA ya Baraza la Mawaziri mnamo Jumatano kuidhinisha ulipaji karo katika taasisi zote za elimu kupitia mtandao wa...

Shilingi moja: Serikali yawapa Wakenya afueni katika bei za hivi punde za mafuta

NA CHARLES WASONGA SERIKALI imetoa afueni kidogo kwa Wakenya kwa kushusha bei ya petroli, dizeli na mafuta taa kwa Sh1 kwa lita...

Joho afufua azma yake ya urais

NA WINNIE ATIENO NAIBU Kinara wa Chama cha ODM, Bw Hassan Joho amejitokeza rasmi katika siasa za chama hicho cha upinzani akitangaza...

Wanaume wanne wakamatwa kwa kuvizia makazi ya Kiptum

NA TITUS OMINDE WANAUME wanne ambao inadaiwa walivizia nyumbani kwa marehemu mwanariadha Kelvin Kiptum siku nne kabla ya kutokea kwa...

DPP aomba Kang’ethe azuiliwe gerezani kumzuia kutoroka

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) ameiomba mahakama ya Milimani kutoa agizo  la kuzuiliwa kwa mshukiwa Kevin...

Mshonaji viatu atoa ardhi ya kujengwa shule

NA MAUREEN ONGALA UMASKINI mkubwa unaoendelea kuwakumba wenyeji na wakazi wa Kaunti ya Kilifi umechangia pakubwa...

Yafichuka wafanyakazi 2,000 serikalini wana vyeti feki

NA CHARLES WASONGA KUNA hofu kwamba huenda Wakenya wamekuwa wakihudumiwa na wahudumu feki katika hospitali kubwa za rufaa nchini, zikiwa...

Serikali kuuza hisa zake katika hoteli saba

NA CHARLES WASONGA SIKU chache baada ya Rais William Ruto kupiga abautani na kusitisha ubinafsishaji wa kampuni tano za sukari...

Wakenya kuumia bei za gesi ya kupikia zikianza kupanda tena

BRIAN AMBANI Na WANDERI KAMAU WAKENYA wataanza kuumia tena, baada ya bei ya gesi ya kupikia kuongezeka. Hali hiyo imetajwa kuchangiwa na...

Punda wakamatwa kwa kufunza watoto tabia mbaya

NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa punda ambao huwaachilia wanyama hao kurandaranda ovyo mitaani kisiwani Lamu huenda wakaanza kuadhibiwa kwa...

Gari la Kiptum lilikuwa katika hali shwari ya kimitambo, uchunguzi wabaini

CAROL WAFULA NA JOHN ASHIHUNDU MATOKEO ya hivi punde zaidi kuhusu uchunguzi wa gari alilokuwa akiendesha Kelvin Kiptum yameonyesha...

E-Citizen pigo kwa wazazi wanaolipa karo kupitia kwa bidhaa za shambani

NA GEORGE ODIWUOR MFUMO mpya wa kulipa karo kidijitali kupitia tovuti ya e-Citizen umezua kizungumkuti kwa wazazi wanaotegemea mbinu...