NA GEORGE ODIWUOR MFUMO mpya wa kulipa karo kidijitali kupitia tovuti ya e-Citizen umezua kizungumkuti kwa wazazi wanaotegemea mbinu...
NA GEORGE MUNENE MAHAKAMA ya Baricho mnamo Jumanne iliwaruhusu polisi kuwazuilia wenzao wanne wanaodaiwa kuiba pombe vyenye sumu...
NA LUCY MKANYIKA GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amewapuuza wakosoaji wake wanaomlaumu kwa kushindwa kuboresha sekta ya...
NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Ingonga amewasilisha notisi ya kukata rufaa kupinga uamuzi wa mahakama...
NA LUCAS BARAZA NAIBU Rais, Rigathi Gachagua, alidhihirisha ubabe wake wa kisiasa eneo la Mlima Kenya alipovamia ngome ya mpinzani wake...
NA MASHIRIKA WAZIRI wa Ulinzi wa Amerika, Lloyd Austin, alilazwa hospitalini mjini Washington Jumapili kwa matibabu ya “dalili...
CAROLINE WAFULA NA BERNARD ROTICH MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za marathon Kelvin Kiptum na kocha wake raia wa Rwanda Garvais...
NA WANDERI KAMAU NAIBU Inspekta Jenerali wa Polisi wa zamani, Bw King’ori Mwangi, ameaga dunia. Kwenye taarifa, familia yake ilisema...
NA WYCLIFFE NYABERI WANASIASA na viongozi wa mirengo kinzani kutoka Kaunti ya Kisii sasa wameanza kugeuza hafla za mazishi majukwaa ya...
NA KALUME KAZUNGU UBUNIFU wa Shule ya Msingi ya Mwendo Bora iliyoko katika kisiwa cha Lamu wa kugeuza trekta kuwa basi la kuwabeba...
NA VINCENT ODUOR GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amejipata matatani huku baadhi ya viongozi wakidai ametoroka kuwajibikia wakazi jijini...
NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa nyumba za kupangisha, almaarufu ‘malandilodi’ katika mji wa kale wa Lamu, wana kibarua kigumu cha...