NA TITUS OMINDE UKOSEFU wa ushirikiano kutoka kwa mashahidi katika kesi za mauaji umechangia mirundiko ya kesi zaidi ya 90 za mauaji...
Na JOSEPH OPENDA MZOZO kuhusu usimamizi wa mali ya mwanzilishi wa maduka ya Naivas Peter Mukuha unaendelea baada ya watoto wake watatu...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto, Jumapili aliwaongoza Wakenya kutuma rambirambi kwa watu wa Namibia, kufuatia kifo cha Rais Hage...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI ilionekana kuanza kugutuka Jumamosi ilipowasimamisha kazi maafisa wanne wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kusimamia...
NA BARNABAS BII MAMLAKA ya Kudhibiti Kawi na Petroli (Epra) imejitenga na lawama kuhusu mlipuko wa gesi eneo la Embakasi ulioua watu...
NA KALUME KAZUNGU WAWEKEZAJI mjini Mokowe wameibukia biashara ya kujenga na kukodisha kumbi za kijamii ambayo inaonekana kufanya vyema...
NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi limetanda katika Kanisa Katoliki tawi la Kaunti ya Murang'a baada ya mama kanisa watano kuaga dunia...
NA MWANGI MUIRURI MWEKEZAJI Derrick Kimathi anayehusishwa na mlipuko wa gesi uliotokea Mradi, Embakasi, Kaunti ya Nairobi mnamo Alhamisi...
NA MWANGI MUIRURI ZAIDI ya wanafunzi 200 wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Kirogo katika Kaunti ya Murang'a wameachwa bila malazi baada...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto ameagiza kufutwa kazi kwa maafisa wa serikali wanaolaumiwa kutoa leseni kwa kituo cha kuuzia gesi...
NA WANDERI KAMAU BODI ya Mamlaka ya Uhifadhi wa Mazingira Nchini (Nema) imewatimua maafisa wanne kwa kutoa leseni kwa Maxxis Nairobi...
NA WANDERI KAMAU ITAKUWA lazima kwa wazazi na walezi kuwalipia watoto karo kupitia mtandao wa e-Citizen. Hili ni baada ya Wizara ya Elimu...