Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA afisa wa polisi aliyemuua mwanaume mwenye umri wa miaka 24 kwa kumtandika risasi tatu kifuani amehukumiwa...
RUTH MBULA NA WYCLIFFE NYABERI MAHAKAMA ya Rufaa mjini Kisii Ijumaa ilimwachilia huru Rael Mayaka, 80, ambaye alikuwa amehukumiwa...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI imetangaza kwamba inaendelea kufanya kila iwezalo kuwasaidia waathiriwa wa moto kutokana na mlipuko wa gesi...
NA DANIEL OGETTA KIJIJI cha Miradi, eneo la Embakasi Nairobi kiliamkia kisa cha kutisha cha nyumba na makazi kuchomeka yakabaki majivu,...
NA DAVID MUCHUNGUH MPANGO wa elimu bila malipo ulioanzishwa na Rais wa Tatu Kenya, Mzee Mwai Kibaki mnamo 2003 na kujumuishwa kwenye...
NA FATUMA BARIKI WATU wawili wamethibitishwa kufariki, wengine 222 wakijeruhiwa huku mamia wakichomekewa na nyumba Alhamisi usiku...
NA KALUME KAZUNGU MANISPAA ya kisiwa cha Lamu imeanzisha msako wa wakazi ambao wanadaiwa kuwabebesha wendawazimu na watu wenye matatizo ya...
NA RICHARD MUNGUTI OMBI la kumtimua kazini Jaji Mkuu (CJ) Martha Koome limewasilishwa mahakamani na mkazi wa Homa Bay kwa madai alitumia...
Na ALEX NJERU MWALIMU Mstaafu jana alidaiwa kumuua mwanawe kwa kumkata kwa panga katika Kaunti ya Tharaka-Nithi kufuatia mzozo wa pesa...
NA WYCLIFFE NYABERI WANAFUNZI watatu wa Shule ya Upili ya Gianchere Friends katika eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii...
NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Ingonga amewasilisha rasmi ombi la kumpeleka nchini Marekani mwanamume...
Na WINNIE ATIENO WAKENYA ambao wanaendelea kuhangaika nchini Saudi Arabia walisafiri bila stakabadhi za kuajiriwa, serikali...