• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 7:53 PM

Polisi aliyemiminia raia risasi ‘katika hali ya kujikinga’ asukumwa jela miaka 15

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA afisa wa polisi aliyemuua mwanaume mwenye umri wa miaka 24 kwa kumtandika risasi tatu kifuani amehukumiwa...

Ajuza Rael Mayaka katika kesi ya kung’oa mtoto macho aachiliwa huru

RUTH MBULA NA WYCLIFFE NYABERI  MAHAKAMA ya Rufaa mjini Kisii Ijumaa ilimwachilia huru Rael Mayaka, 80, ambaye alikuwa amehukumiwa...

Embakasi: Serikali yawataka raia kuchukua tahadhari kuu

NA CHARLES WASONGA SERIKALI imetangaza kwamba inaendelea kufanya kila iwezalo kuwasaidia waathiriwa wa moto kutokana na mlipuko wa gesi...

Gesi ilianza kuvuja mapema kabla mlipuko ulioua na kujeruhi wengi Embakasi

NA DANIEL OGETTA KIJIJI cha Miradi, eneo la Embakasi Nairobi kiliamkia kisa cha kutisha cha nyumba na makazi kuchomeka yakabaki majivu,...

Haki ya kikatiba ya elimu yageuka ndoto

NA DAVID MUCHUNGUH MPANGO wa elimu bila malipo ulioanzishwa na Rais wa Tatu Kenya, Mzee Mwai Kibaki mnamo 2003 na kujumuishwa kwenye...

Wawili wathibitishwa kufariki, mamia wakijeruhiwa katika mlipuko wa gesi Embakasi

NA FATUMA BARIKI WATU wawili wamethibitishwa kufariki, wengine 222 wakijeruhiwa huku mamia wakichomekewa na nyumba Alhamisi usiku...

Lamu: Wanaowapa wendawazimu taka kutupa ovyo mjini waonywa

NA KALUME KAZUNGU MANISPAA ya kisiwa cha Lamu imeanzisha msako wa wakazi ambao wanadaiwa kuwabebesha wendawazimu na watu wenye matatizo ya...

JSC yaombwa imtimue kazini Jaji Mkuu Koome

NA RICHARD MUNGUTI OMBI la kumtimua kazini Jaji Mkuu (CJ) Martha Koome limewasilishwa mahakamani na mkazi wa Homa Bay kwa madai alitumia...

Mwalimu azuiliwa kwa madai ya kukatakata na kuua mwanawe ‘aliyemjia kwa ubaya’

Na ALEX NJERU MWALIMU Mstaafu jana alidaiwa kumuua mwanawe kwa kumkata kwa panga katika Kaunti ya Tharaka-Nithi kufuatia mzozo wa pesa...

Wanafunzi wajeruhiwa wakipinga kuhamishwa mwalimu mkuu

NA WYCLIFFE NYABERI WANAFUNZI watatu wa Shule ya Upili ya Gianchere Friends katika eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii...

DPP awasilisha ombi Mkenya apelekwe Marekani kushtakiwa kwa mauaji

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Ingonga amewasilisha rasmi ombi la kumpeleka nchini Marekani mwanamume...

Wakenya wanaoteswa Saudi Arabia walipitia mlango wa nyuma, Waziri asema

Na WINNIE ATIENO WAKENYA ambao wanaendelea kuhangaika nchini Saudi Arabia walisafiri bila stakabadhi za kuajiriwa, serikali...