• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 5:01 PM

Bunduki mali ya Uganda yaaminika iko Kenya

NA MWANGI MUIRURI HUENDA majambazi wenye maficho katika Kaunti ya Kisumu ndio waliomshambulia kimabavu polisi wa Uganda ndani ya taifa...

Mzee adaiwa kumuua mwanawe kwa mzozo wa pesa

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME wa umri wa miaka 71 katika Kaunti ya Tharaka Nithi ametiwa mbaroni akidaiwa kumuua mtoto wake wa kiume wa...

Jela yapanda vigingi kurejesha ardhi iliyonyakuliwa

NA EVANS JAOLA SERIKALI imeanza kuweka vigingi kwenye ardhi iliyonyakuliwa ya Magereza Kitale, wiki chache tu baada ya Rais William Ruto...

Mauaji ya wanawake: Serikali kuanzisha operesheni dhidi ya vyumba vya malazi

NA CHARLES WASONGA SERIKALI sasa imetangaza kuwa kuanzia wiki ijayo itaandama wamiliki wa vyumba vya malazi visivyosajiliwa na hata vile...

Waliohamia ODM juzi waamua kurejea PAA

NA ANTHONY KITMO WANACHAMA wanne wa chama cha kisiasa cha Pamoja Africa Alliance (PAA), wameonekana kuyumbayumba kisiasa baada ya kurudi...

Kanisa la Mackenzie ni kundi la uhalifu – Serikali

NA ALEX KALAMA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki amechapisha kwenye gazeti rasmi la serikali kwamba Kanisa la mhubiri tata Paul...

Christine Kilalo alaani visa vya mauaji ya wanawake

NA LUCY MKANYIKA NAIBU Gavana wa Kaunti ya Taita Taveta, Bi Christine Kilalo, ameungana na viongozi wengine kulaani vikali visa vya...

Mzee adai alisukumiwa kosa la unajisi kwa kudai deni

NA TITUS OMINDE  MZEE mwenye umri wa miaka 78 anayetumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi msichana...

Ufisadi: Kenya yalala darasani

NA WANDERI KAMAU HALI ya ufisadi iliongezeka nchini mwaka 2023, imeonyesha ripoti mpya iliyotolewa Jumanne na shirika la Transparency...

Familia ya marehemu Mark Too yapinga jaribio la maskwota

NA RICHARD MUNGUTI FAMILIA ya aliyekuwa mwanasiasa mwenye ushawishi mwingi marehemu Mark Too pamoja na Mwanasheria Mkuu Justin Muturi...

Wavunaji mchanga wachapa kazi licha ya kufukua mafuvu

NA KASSIM ADINASI UVUNAJI wa mchanga kwenye maeneo mengi ya Usonga katika Kaunti ya Siaya unakuja na makubwa yake, la hivi punde likiwa...

Mtakuja kuelewa umuhimu wa kubariki mashoga – Papa

NA MASHIRIKA VATICAN CITY, VATICAN KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema katika mahojiano yaliyochapishwa Jumatatu...