NA FRIDAH OKACHI MHANDISI Susan Okeyo, alitengana na mumewe mwaka 2023, baada ya miaka 20, akisema penzi liliingia mdudu alipotoboa...
NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary Wamaua ametisha kwamba atalazimika kuongoza maandamano ya wapigakura wake hadi Ikulu ya Nairobi...
NA WINNIE ATIENO FERI tano kwenye kivuko cha Likoni kinachounganisha Kisiwa cha Mombasa na Mombasa Kusini huenda zitaacha kutumiwa hivi...
NA HASSAN WANZALA BARA la Afrika litatengewa nafasi na kupewa zingatio maalum katika ajenda ya Italia kwenye kipindi chake cha urais wa...
NA MARY WAMBUI KAMPUNI za kibinafsi zinazotoa huduma za ulinzi zimepewa siku saba kutii sheria ambayo imetoa mwongozo mpya wa mshahara...
NA SAMMY KIMATU WAKAZI wa lokesheni ya Mutituni katika Kaunti ya Machakos wamepata afueni baada ya Gavana Wavinya Ndeti kushirikiana na...
NA WANDERI KAMAU MBINU za kijanja za kutekeleza sera za kigeni na kiuchumi za serikali yake zimemfanya Rais William Ruto kutengwa na...
NA KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imeanzisha harakati za kuinua sekta ya uvuvi na uhifadhi wa mazingira na jamii, ikiwemo...
NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wanamsaka mchungaji wa kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG), anayedaiwa kunajisi...
NA FRIDAH OKACHI SENETA wa Kakamega Boni Khalwale, amefanya tambiko la kumchinja ng’ombe aliyesababisha kifo cha mchungaji wa mifugo...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI imebuni kamati maalum ya kukagua mali ya Hazina ya Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF), madeni yake, pensheni na...
NA WANDERI KAMAU MWAKILISHI wa Kike katika Kaunti ya Nairobi, Esther Passaris, Jumapili, Januari 28, 2024 alipuuza kundi la watu ambao...