NA WINNIE ATIENO WIZARA ya Elimu imeanza kuwasaka zaidi ya wanafunzi 48,000 ambao walipata alama ya ‘E’ katika Mtihani wa...
KABUI MWANGI NA BRIAN GEORGE KAMPUNI ya kibinafsi imetangaza mipango ya kuwekeza angalau dola milioni 80 (Sh13 bilioni) katika mradi wa...
Na CECIL ODONGO MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya umeahirisha mkutano wake ambao ulitarajiwa kuandaliwa Januari 25, 2024 kuamua hatima...
NA ALEX KALAMA KIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, amekosoa hatua ya Rais William Ruto na Jaji Mkuu...
NA CECIL ODONGO ZAKAT Kenya na Benki ya Premier jana zilitia saini ushirikiano unaolenga kukusanya Sh30 milioni kusaidia familia 5,000...
NA WYCLIFFE NYABERI MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Dorcas Rigathi, ameyaomba makanisa kuwakumbatia watoto wanaorandaranda mitaani...
NA ERIC MATARA HUENDA makanisa nchini yakaanza kutozwa ushuru wa mapato kwa pesa yanayokusanya kama sadaka na fungu la kumi iwapo...
NA BARNABAS BII UCHUNGUZI kuhusu maboksi 540 ya vitabu vyenye thamani ya mamilioni vilivyopatikana katika msitu wa umma katika Kaunti ya...
NA MWANGI MUIRURI WATOTO watatu wa mwendazake Lizzie Muthoni Wanyoike mnamo Jumanne walionywa na wachungaji dhidi ya kupigania mabilioni...
NA MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA WANAHARAKATI na watetezi wa haki za binadamu nchini Amerika sasa wanataka Rais wa nchi hiyo, Joe Biden,...
NA MWANGI NDIRANGU POLISI wa akiba (NPR) ameuawa kwa kupigwa risasi na wenzake watano kujeruhiwa na majangili waliotekeleza uvamizi...
NA JOSEPH NDUNDA RAIA wawili wa Nigeria wanaoshukiwa kumuua na kumkatakata kwa vipande msichana wa chuo kikuu karibu na TRM, Kasarani,...