• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 7:53 AM

Serikali yawinda waliopata ‘E’ kwenye KCSE

NA WINNIE ATIENO WIZARA ya Elimu imeanza kuwasaka zaidi ya wanafunzi 48,000 ambao walipata alama ya ‘E’ katika Mtihani wa...

Majaribio ya upanzi wa mahindi Galana-Kulalu yapata ufanisi mkubwa

KABUI MWANGI NA BRIAN GEORGE KAMPUNI ya kibinafsi imetangaza mipango ya kuwekeza angalau dola milioni 80 (Sh13 bilioni) katika mradi wa...

Azimio yakunja mkia kuhusu mkutano wake wa ‘kufa kupona’

Na CECIL ODONGO MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya umeahirisha mkutano wake ambao ulitarajiwa kuandaliwa Januari 25, 2024 kuamua hatima...

Mageuzi idara ya mahakama hufanywa na tume – Raila

NA ALEX KALAMA KIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, amekosoa hatua ya Rais William Ruto na Jaji Mkuu...

Zakat Kenya, Premier kuchangisha Sh30m kununulia familia 5,000 mlo wa Iftar

NA CECIL ODONGO ZAKAT Kenya na Benki ya Premier jana zilitia saini ushirikiano unaolenga kukusanya Sh30 milioni kusaidia familia 5,000...

Karibisheni watoto chokoraa wanaorandaranda majumbani mwenu, mke wa Gachagua asihi Wakenya

NA WYCLIFFE NYABERI MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Dorcas Rigathi, ameyaomba makanisa kuwakumbatia watoto wanaorandaranda mitaani...

Daktari apendekeza sadaka na fungu la kumi kutozwa ushuru

NA ERIC MATARA HUENDA makanisa nchini yakaanza kutozwa ushuru wa mapato kwa pesa yanayokusanya kama sadaka na fungu la kumi iwapo...

Lori lanaswa Kisii uchunguzi wa wizi wa vitabu ukichukua mkondo mpya

NA BARNABAS BII UCHUNGUZI kuhusu maboksi 540 ya vitabu vyenye thamani ya mamilioni vilivyopatikana katika msitu wa umma katika Kaunti ya...

Mchungaji aonya watoto wa Lizzie Wanyoike dhidi ya kupigania mabilioni yaliyoachwa

NA MWANGI MUIRURI WATOTO watatu wa mwendazake Lizzie Muthoni Wanyoike mnamo Jumanne walionywa na wachungaji dhidi ya kupigania mabilioni...

Biden motoni wanaharakati Amerika wakitaka asiwanie urais

NA MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA WANAHARAKATI na watetezi wa haki za binadamu nchini Amerika sasa wanataka Rais wa nchi hiyo, Joe Biden,...

Polisi wa akiba auawa na majangili Laikipia

NA MWANGI NDIRANGU POLISI wa akiba (NPR) ameuawa kwa kupigwa risasi na wenzake watano kujeruhiwa na majangili waliotekeleza uvamizi...

Washukiwa wa mauaji ya Rita Waeni, raia wa Nigeria walinunua shoka mtandaoni – Polisi

NA JOSEPH NDUNDA RAIA wawili wa Nigeria wanaoshukiwa kumuua na kumkatakata kwa vipande msichana wa chuo kikuu karibu na TRM, Kasarani,...