• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Huzuni mwanafunzi akikwama migodini akisaka riziki

NA OSCAR KAKAI HOFU imetanda katika kijiji cha Narworwo, Alale, Kaunti ya Pokot Magharibi baada ya mwili wa msichana mwenye umri wa...

Maafisa wa kanjo kupewa mafunzo na KFS kujua kuishi na raia  

NA GEORGE ODIWUOR SERIKALI ya Kaunti ya Homa Bay imeanzisha mafunzo kwa maafisa wake wa usalama ‘kanjo’ ili kuhakikisha kuwa wana...

Macho kwa Refa Mkenya ‘kuamua’ mechi kati ya Morocco na DR Congo

NA LABAAN SHABAAN MWAMUZI Mkenya Peter Waweru Kamaku atashika kipenga leo Jumapili, Januari 21, 2024 katika mechi kati ya Morocco na...

Mkenya azuiliwa Marekani kwa kudaiwa kumuua muuzaji kuni

NA RUTH MBULA RAIA wa Kenya anayeishi Fort Worth, Texas Marekani, alikamatwa na kuzuiliwa kwa tuhuma za kumuua mwanamume ambaye alimuona...

Mamia hatarini serikali ikipanga kutwaa ardhi zote za umma zilizonyakuliwa

NA BARNABAS BII HUENDA mamia ya watu wakafurushwa makwao huku serikali ikilenga kutwaa ardhi za umma zilizonyakuliwa kote nchini. Hii...

Gideon Moi alaani vikali mauaji dhidi ya wanawake

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA Seneta wa Kaunti ya Baringo, Gideon Moi, amevunja kimya chake na kuzungumza kwa mara ya kwanza tangu kushindwa...

Wawekezaji wa kibinafsi walionyakua ardhi ya umma waonywa

NA BARNABAS BII HUENDA mamia ya watu wakafurushwa makwao huku serikali ikilenga kutwaa ardhi ya umma iliyonyakuliwa kote nchini. Hii...

Wachimbaji madini wapewa mafunzo kuepuka vifo migodini

NA LUCY MKANYIKA SEKTA ya uchimbaji madini katika eneo la Taita Taveta inakabiliwa na hatari, huku visa vya ajali mbaya katika mashimo...

Mwanamke aliyedaiwa kuanguka aliuawa kabla mwili wake kurushwa – Polisi

NA JOSEPH NDUNDA UCHUNGUZI wa polisi unaonyesha mwanamke ambaye awali iliripotiwa kwamba aliaga dunia baada ya kuruka kutoka kwa orofa...

Mvulana aliyejichomoa msituni Shakahola kuendelea na masomo aomba ufadhili

NA ALEX KALAMA MVULANA Issa Ali aliyefanya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE 2023) na kupata alama 259 kutoka Shule ya Msingi...

Ruto amrejesha Muthaura serikalini kwa kumteua chansela wa KU

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mkuu wa Utumishi wa Umma Balozi Francis Muthaura amerejea tena serikalini kufuatia uteuzi wa hivi punde...

Magavana waitia presha serikali kuu itoe pesa za mgao wa bajeti kwa wakati

NA CHARLES WASONGA MAGAVANA wamefufua mvutano kati yao na serikali ya kitaifa kuhusu kucheleweshwa kwa fedha za mgao wa bajeti kwa kaunti...