• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 12:36 PM

Ruto amrejesha Muthaura serikalini kwa kumteua chansela wa KU

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mkuu wa Utumishi wa Umma Balozi Francis Muthaura amerejea tena serikalini kufuatia uteuzi wa hivi punde...

Magavana waitia presha serikali kuu itoe pesa za mgao wa bajeti kwa wakati

NA CHARLES WASONGA MAGAVANA wamefufua mvutano kati yao na serikali ya kitaifa kuhusu kucheleweshwa kwa fedha za mgao wa bajeti kwa kaunti...

Mwanamke aliyepata mimba akiwa kwenye ibada za Shakahola atibiwa maradhi ya akili

NA BRIAN OCHARO Mama aliyeokolewa katika msitu wa Shakahola amelazwa katika hospitali ya Port Reiz mjini Mombasa kwa matibabu ya kiakili...

Tanzania yamfuta kocha Amrouche kufuatia matamshi tatanishi

NA WYCLIFFE NYABERI  Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) limemsimamisha kazi kocha wa timu ya taifa ya wanaume Taifa Stars, Adel...

Picha za CCTV zaonyesha dakika za mwisho za Dkt Kiptoo kabla apatikane ameuawa Nakuru

NA MERCY KOSKEI PICHA mpya za kamera za CCTV zikionyesha dakika za mwisho za Dkt Laban Kiptoo aliyeuawa kwa njia tata zimepatikana huku...

Utakachokatwa kwenye mshahara kwa ajili ya bima mpya ya SHIF ya Kenya Kwanza

Na RICHARD MUNGUTI RAIS William Ruto ameendelea kupata anachotaka, huku uamuzi wa jana wa Mahakama ya Juu kuhusu Bima ya Afya ya jamii...

Tom Mshindi ateuliwa mwenyekiti wa bodi ya KBC

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amemteua aliyekuwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa shirika la habari la Nation Media Group (NMG) Tom Mshindi...

Mfanyabiashara Deepak Kamani huru katika kesi ya sakata ya Sh7bn

NA RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA Deepak Kamani pamoja na nduguye Rashmi Kamani na makatibu wa zamani wa wizara Dave Mwangi, Joseph...

Baba apinga bintiye kuachiliwa kwa dhamana katika kesi ya mauaji ya Maigo

NA RICHARD MUNGUTI BABA yake msichana anayekabiliwa na shtaka la kumuua aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Fedha Nairobi Hospital Eric...

Mkopo mwingine: Wakenya kukamuliwa ushuru zaidi kulipa malimbikizi ya madeni

NA WANDERI KAMAU SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF), Alhamisi liliidhinisha Kenya kupewa mkopo mpya wa Sh150 bilioni. Kinaya ni kuwa, hili...

ODM yalia kukaziwa fedha zake na serikali

NA WANDERI KAMAU CHAMA cha ODM kimelalamikia “kukaziwa” mgao wa fedha zake na serikali, licha ya Afisi ya Usajili wa Vyama vya...

Gavana Mwadime alia Samboja kamuachia zigo la deni kubwa la Sh1.4bn

NA LUCY MKANYIKA GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amewataka waliompigia debe kuwa na subira anapojitahidi kuboresha...