NA SHABAN MAKOKHA MSICHANA mwenye umri wa miaka 13 kutoka eneo la Butere amewashangaza wengi baada ya kutembea umbali wa kilomita zaidi ya...
NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema atawasilisha kesi kuishinikiza Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) kumwondoa Jaji...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto Jumapili, Januari 14, 2024 alitangaza kuhamishwa kwa kambi ya mafunzo ya Jeshi la Kenya (KDF) kutoka...
NA MERCY CHELANGAT MAMLAKA ya Kusimamia Vyakula na Dawa (FDA) imependekeza bangi kuorodheshwa upya kama dawa yenye kiwango cha chini cha...
NA MWANGI MUIRURI KAMATI ya kiusalama katika Kaunti ya Murang'a kwa ushirikiano na wazee wa kijiji imemtimua mwanamke aliyezoea...
NA CHARLES WASONGA NI afueni kidogo tena kwa Wakenya baada ya serikali kupunguza bei ya petroli, dizeli na mafuta taa kwa angalau Sh5...
NA JUSTUS OCHIENG KINARA wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amelitaka kanisa liungane na Wakenya kukemea maovu ya Kenya Kwanza huku...
NA MOSES NYAMORI ALIYEKUWA Waziri wa Ulinzi Eugene Wamalwa amefichua kuwa hatua yake ya kuwapeleka viongozi wa kisiasa wa upinzani...
NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati amesema hatashiriki mazungumzo yoyote ya kumpatanisha na hasimu wake wa kisiasa,...
NA CHARLE WASONGA TAIFA linakodolea macho mzozo mkubwa wa kikatiba kutokana ombwe uongozi uliopo katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...
NA SIAGO CECE ZAIDI ya wakazi 2,000 wa mtaa wa Whitehouse ulioko eneo la Diani katika Kaunti ya Kwale wamepinga vikali mpango wa...
NA RICHARD MUNGUTI MTAALAMU wa masuala ya kiteknolojia katika benki mojawapo nchini ameshtakiwa kufichua siri ya akaunti ya mteja...