• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 1:33 PM

Wakazi wa Whitehouse kubomolewa nyumba zao kupisha mradi wa nyumba za bei nafuu

NA SIAGO CECE ZAIDI ya wakazi 2,000 wa mtaa wa Whitehouse ulioko eneo la Diani katika Kaunti ya Kwale wamepinga vikali mpango wa...

Mtaalamu wa IT ashtakiwa kufichua siri za mteja aliyepoteza Sh2.2m

NA RICHARD MUNGUTI MTAALAMU wa masuala ya kiteknolojia katika benki mojawapo nchini ameshtakiwa kufichua siri ya akaunti ya mteja...

Mafuriko yatatiza shughuli za kawaida maeneo mengi nchini

NA WAANDISHI WETU SHUGHULI za kawaida zimetatizika katika maeneo mengi nchini kufuatia mvua iliyonyesha kuanzia Ijumaa na kuendelea...

Salasya akamatwa kwa kuzua sokomoko tena kwa kumshambulia diwani

NA SHABAN MAKOKHA POLISI wamemkamata Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya kwa madai ya kumshambulia na kumjeruhi diwani wa wadi ya...

Wavuvi wanne wajeruhiwa kwa mlipuko wa mashua

NA KALUME KAZUNGU WAVUVI wanne wamejeruhiwa vibaya baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuteketea eneo la Ras Kiamboni kwenye mpaka wa...

Mwanamume atupwa rumande kwa kushindwa kulipa bili hotelini

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyekaa katika hoteli moja ya kifahari jijini Nairobi kwa siku 12 akimsubiri mpenzi wake washerehekee...

Mshukiwa ajaribu kujiua jela kwa kujikatakata na wembe

NA FARHIYA HUSSEIN Mshukiwa aliyehusika katika jaribio la kufyatuliana risasi katika mahakama ya Mombasa inasemekana alijaribu kujitoa...

Hizi kashfa dhidi ya wahubiri maarufu kuendelea hadi lini?

NA WANDERI KAMAU KWA kawaida, maana na lengo kuu la dini huwa ni kutoa matumaini kwa washirika wake. Dini huwa kama kimbilio la kumpa...

Seneta ataka waathiriwa U-18 wa ukatili wajaziwe fomu ya P3 bila ada

NA MWANGI MUIRURI SENETA wa Murang’a Bw Joe Nyutu amependekeza fomu ya P3 ambayo hupeanwa na vituo vya polisi iwe ikijazwa hospitalini...

Serikali yajigamba ikisema ETA imeongeza wageni na mihela

NA NDUBI MOTURI SERIKALI imejigamba ikisema mfumo wa kielekroniki wa kutoa vibali vya kufanikisha usafiri kwa wanaoingia nchini (ETA) ni...

Orodha ya wanaolenga viatu vya Eric Theuri LSK yaongezeka

NA RICHARD MUNGUTI KITI cha Urais wa Chama cha Wanasheria Nchini (LSK) kimeendelea kuwavutia wawaniaji huku wakili Peter Wanyama...

UN yalaumiwa kwa kimya sana Gaza ikipondwa na Israeli

NA WANDERI KAMAU HALI ya wasiwasi imeibuka duniani kutokana na kimya cha Umoja wa Mataifa (UN), huku Israeli ikiendelea kutekeleza...