NA MASHIRIKA ZAIDI ya wanajeshi 1, 000 wa Burundi walitumwa kisiri Mashariki kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Oktoba,...
NA MARY WANGARI HUKU Wakenya wakijiandaa kuukaribisha Mwaka Mpya, thamani ya sarafu ya Kenya imezidi kushuka na kuashiria nyakati ngumu...
NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua anaonekana kuendelea kujisafisha kisiasa, kwa kuepuka baadhi ya makosa aliyokuwa akifanya...
NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Kitui Mashariki Nimrod Mbai, ambaye ni mwandani wa Rais William Ruto sasa anadai kuwa kiongozi wa Wiper...
NA SAMWEL OWINO KWENDA haja kubwa au ndogo katika eneo la umma, mali ya kibinafsi au karibu na mto sasa huenda kukakugharimu kifungo jela...
NA CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Kitaifa ya Usalama Barabarani (NTSA) imewataka wenye magari wote kuwezesha akaunti zao za mtandao wa...
NA WANDERI KAMAU WAANDANI wa kisiasa wa Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa wamemtetea vikali, baada ya kupewa alama ya ‘E’ kwenye...
NA RICHARD MUNGUTI HAKIMU Mkuu Lucas Onyina ameagizwa na Mahakama kuu kukoma kusikiza kesi ambayo wakili Moses Abong’o Owuor na afisa...
NA MASHIRIKA MAAFISA wa Ukraine wamesema kuwa takriban watu 30 waliuawa na wengine zaidi ya 140 wakajeruhiwa baada ya Urusi kulenga miji...
NA CHARLES ONGADI HUKU sikukuu ya Mwaka Mpya ikikaribia, biashara katika ufuo wa Jomo Kenyatta Public Beach almaarufu 'Pirates Beach'...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto na Naibu Rais Rigathi Gachagua mnamo Ijumaa, Desemba 29, 2023, walipewa alama za ‘D’ na ‘E’...
NA RICHARD MUNGUTI NAIROBI, KENYA RAIA wa Rwanda Desire Muhinyuza atasherehekea Mwaka Mpya 2024 akiwa na amani na utulivu moyoni,...