• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 12:11 PM

Wanajeshi 1, 000 wa Burundi walitumwa kisiri mashariki mwa DRC

NA MASHIRIKA ZAIDI ya wanajeshi 1, 000 wa Burundi walitumwa kisiri Mashariki kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Oktoba,...

Hali ngumu ya maisha thamani ya shilingi ikizidi kudorora

NA MARY WANGARI HUKU Wakenya wakijiandaa kuukaribisha Mwaka Mpya, thamani ya sarafu ya Kenya imezidi kushuka na kuashiria nyakati ngumu...

Gachagua sasa aanza ‘kujisafisha’ kisiasa 

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua anaonekana kuendelea kujisafisha kisiasa, kwa kuepuka baadhi ya makosa aliyokuwa akifanya...

Kalonzo Musyoka amesota

NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Kitui Mashariki Nimrod Mbai, ambaye ni mwandani wa Rais William Ruto sasa anadai kuwa kiongozi wa Wiper...

Utafungwa jela miezi mitatu kwenda haja hadharani

NA SAMWEL OWINO KWENDA haja kubwa au ndogo katika eneo la umma, mali ya kibinafsi au karibu na mto sasa huenda kukakugharimu kifungo jela...

NTSA yaaagiza wenye magari kuhamia E-Citizen kupata huduma

NA CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Kitaifa ya Usalama Barabarani (NTSA) imewataka wenye magari wote kuwezesha akaunti zao za mtandao wa...

Utafiti wa Infotrak Naibu Rais kupata E ni Hot Air, Riggy G atetewa

NA WANDERI KAMAU WAANDANI wa kisiasa wa Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa wamemtetea vikali, baada ya kupewa alama ya ‘E’ kwenye...

Mzozo wa shamba kati ya Gachagua na afisa wa ardhi

NA RICHARD MUNGUTI HAKIMU Mkuu Lucas Onyina ameagizwa na Mahakama kuu kukoma kusikiza kesi ambayo wakili Moses Abong’o Owuor na afisa...

Urusi yaponda Ukraine kwa mabomu, yaua 30

NA MASHIRIKA MAAFISA wa Ukraine wamesema kuwa takriban watu 30 waliuawa na wengine zaidi ya 140 wakajeruhiwa baada ya Urusi kulenga miji...

‘Mgeni njoo wachuuzi Pirates Beach tuvune’

NA CHARLES ONGADI HUKU sikukuu ya Mwaka Mpya ikikaribia, biashara katika ufuo wa Jomo Kenyatta Public Beach almaarufu 'Pirates Beach'...

Ruto, Gachagua wapata ‘D’ na ‘E’ katika utafiti wa Infotrak

NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto na Naibu Rais Rigathi Gachagua mnamo Ijumaa, Desemba 29, 2023, walipewa alama za ‘D’ na ‘E’...

Korti yaagiza mwekezaji kutoka Rwanda arudishiwe Sh400m

NA RICHARD MUNGUTI NAIROBI, KENYA RAIA wa Rwanda Desire Muhinyuza atasherehekea Mwaka Mpya 2024 akiwa na amani na utulivu moyoni,...