• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 11:53 AM

Ubomoaji wa nyumba za maskwota 3,500 waanza Msambweni

NA LUCY MKANYIKA ZAIDI ya maskwota 3,500 katika kijiji cha Msambweni kilichoko Voi katika Kaunti ya Taita Taveta wako katika hatari ya...

Mvua kuendelea kushuhudiwa maeneo mengi nchini – Utabiri

NA CHARLES WASONGA IDARA ya Utabiri wa Hali ya Anga imetangaza kuwa sehemu nyingi nchini zitashuhudia mvua kubwa ndani ya siku saba...

CDF isipodunda kwa akaunti zetu katika saa 48 patachimbika, Wabunge waonya serikali

EVANS JAOLA na CHARLES WASONGA BAADHI ya wabunge kutoka eneo la Magharibi sasa wanaitaka serikali kutoa fedha za Hazina ya Kitaifa ya...

Sachang’wan mpya? Eneo la ajali barabara ya Nakuru-Eldoret lililoua 12 katika siku 18

NA MERCY KOSKEI Zaidi ya watu 12 wameaga dunia kutokana na ajali za barabara eneo la Mlango Moja hadi Timboroa, chini ya siku...

El-Nino imeua 174 kufikia Januari, ripoti ya majanga yasema

NA MWANDISHI WETU MVUA ya El Nino iliyoshuhudiwa nchini ilisababisha vifo vya watu 174; watu wazima 133 na watoto 41. Hii ni kulingana...

Raia wa DRC anyimwa dhamana katika kesi ya Sh2.85bn

NA RICHARD MUNGUTI RAIA wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) anayeshtakiwa pamoja na Wakenya watano kwa kula njama ya kumlaghai...

Bodaboda waliochukuliwa wapachikaji mimba wawalinda wasichana Kilifi

NA ALEX KALAMA JAMII imetakiwa kuwapa nafasi sawa watoto wa jinsia zote ili kuhakikisha taifa la kesho linapiga hatua kimaendeleo,...

Mbolea nafuu iliyohepeshwa yaanikwa kama ushahidi dhidi ya mkulima

NA RICHARD MUNGUTI MKULIMA kutoka Narok ameshtakiwa kuhifadhi magunia 252 ya mbolea ya bei nafuu inayotolewa kwa wakuliman wa mashamba...

Wito jamii ya kimataifa ilazimishe kufutiliwa mbali mkataba kati ya Ethiopia na Somaliland

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wanne kutoka eneo la Kaskazini Mashariki wameitaka jamii ya kimataifa kuingilia kati na kushinikiza kufutiliwa...

Tusipolinda mazingira tunaalika umaskini, Wetang’ula aonya

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesisitiza jukumu muhimu linalotekelezwa na mifumo asili katika kulinda...

Waathiriwa wa mafuriko wataabika baada ya kambi kufungwa

NA LUCY MKANYIKA FAMILIA za waliolazimika kuondoka katika maboma yao kwa sababu ya mafuriko katika eneo la Voi, Kaunti ya Taita Taveta...

Ruto asisitiza kusafisha mahakama ni lazima

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto ameapa kuwakabili na kuwaondoa majaji anaodai wanapokea hongo kuhujumu mipango ya serikali yake...