• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 2:07 PM

Ruto asisitiza kusafisha mahakama ni lazima

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto ameapa kuwakabili na kuwaondoa majaji anaodai wanapokea hongo kuhujumu mipango ya serikali yake...

Wezi wapika chamcha kwa nyumba za walioenda kazini

NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa Karagita viungani mwa mji wa Naivasha katika Kaunti ya Nakuru wameripoti ongezeko la visa vya wezi ambao, ...

Nassir: Matibabu ya bure ni kwa watoto wa 001 pekee

NA FARHIYA HUSSEIN GAVANA wa Kaunti ya Mombasa Abdulswamad Nassir ametetea mpango wake wa huduma za matibabu ya bure unaowanufaisha...

Mahakama yasikia kilio cha Ruto

NA SAM KIPLAGAT MAHAKAMA ya Rufaa imeruhusu serikali kuendelea kukata ushuru wa nyumba za gharama nafuu hadi pale itatoa uamuzi wake...

Hofu simba wenye njaa wakizurura ovyo vijijini

NA STANLEY NGOTHO TAHARUKI imezuka katika vijiji kadhaa kaunti ndogo ya Kajiado Mashariki baada ya simba tisa kuonekana wakizurura ovyo...

Wazazi wajiandaa kuwapeleka watoto shuleni

NA FARHIYA HUSSEIN UGUMU wa maisha unaendelea kuwabamiza Wakenya ukutani. Baada ya kutamatika rasmi kwa sherehe za Krismasi na Mwaka...

Ruto ainyenyekea mahakama aruhusiwe kukata ushuru wa nyumba

NA SAM KIPLAGAT RAIS William Ruto mnamo Jumanne aliirai Mahakama ya Rufaa kuiruhusu serikali yake kuendelea kukusanya ada tata za makato...

Wito busara itumike kufanikisha mradi wa kawi ya nyuklia

NA ALEX KALAMA BAADHI ya wakazi wa Matsangoni katika Kaunti ya Kilifi, wanaitaka serikali kutuma timu katika eneo hilo na kutoa taarifa...

Mabasi matupu yaelekea ‘ushago’ kuchukua abiria

NA RICHARD MAOSI KUNA ongezeko la idadi ya matatu na mabasi matupu kutoka jijini Nairobi kuelekea mashambani kuwachukua abiria baada ya...

Mageuzi sekta ya kahawa yaibua maswali mengi

NA JAMES MURIMI SERIKALI inapojitahidi kuwakomboa wakulima wa kahawa kutoka mikononi mwa mabroka na wafanyabiashara walaghai, maswali...

Milipuko ya mabomu Iran yaua 103 katika makumbusho ya Qasem Soleimani

NA MASHIRIKA TAFSIRI: FATUMA BARIKI TEHRAN, IRAN Milipuko miwili ya mabomu imeua takriban waombolezaji 103 Jumatano Januari 3,...

SRC yazima tena ulafi wa wabunge

NA DAVID MWERE TUME ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu ya Watumishi wa Umma (SRC) imepinga mswada unaopendekeza kuwa wabunge waliohudumu...