• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

Watu 66 waliookolewa Shakahola kusota jela Krismasi

NA BRIAN OCHARO WATU 66 waliookolewa katika msitu wa Shakahola watasota jela Krismasi na Mwaka Mpya baada ya mahakama kuipa serikali...

Watoto 700 kusherehekea Krismasi, Mwaka Mpya jelani

NA TITUS OMINDE WAKATI watoto wengine wakisherehekea Krismasi pamoja na jamaa zao na familia zao, zaidi ya watoto 700 wenye umri wa kati...

Polisi wawinda wahalifu waliovamia dukakuu la Shivling

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wanachunguza jinsi watu wasiojulikana walivyoingia katika mojawapo ya matawi ya dukakuu la...

Afueni kwa wasafiri baina ya Lamu na Garsen mawe yakipangwa Gamba kuunganisha barabara iliyokatwa na mafuriko

NA KALUME KAZUNGU NI afueni kwa mamia ya wasafiri baina ya Lamu na Garsen baada ya mawe kupangwa kufunika eneo la Gamba lililosombwa na...

Mombasa yameremeta Krismasi ikibisha hodi

NA CHARLES ONGADI SHAMRASHAMRA za Sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya zinaendelea kunoga Mombasa huku barabara nyingi katikati mwa jiji...

KCPE: Shule za kibinafsi zalia kuhusu uteuzi wa sekondari

NA WINNIE ATIENO MALALAMISHI yameibuka miongoni mwa wamiliki wa shule za kibinafsi baada ya wanafunzi wa shule za umma kusajiliwa...

Kang’ata atia breki utoaji wa Sh4,000 kwa kila mimba Murang’a kuzima ukora

NA MWANGI MUIRURI SERIKALI ya Kaunti ya Murang'a imesimamisha kwa muda mpango wake wa kuwapa wanawake wajawazito kiinua mgongo cha...

Yafichuka ulaghai wa bima hupotezea serikali mamilioni

NA EVANS JAOLA SERIKALI ya Kenya inapoteza mamilioni ya pesa katika ulaghai wa bima ghushi za magari unaohusisha maajenti wa kampuni...

Ushoga: Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Kenya wamtetea Papa Francis kwa kufafanua agizo lake

NA CHARLES WASONGA KANISA Katoliki limekana madai kuwa Papa Francis ameidhinisha ndoa baina ya wapenzi ambao ni mashoga na wasagaji,...

Mwalimu asakwa akidaiwa kuwaua kwa kuwachinja wanawe wawili

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang'a wanamsaka mwalimu mmoja wa kiume wa Shule ya Upili ya Kamacharia mwenye umri wa miaka...

Waislamu mjini Eldoret walaani hatua ya Papa Francis kukubali wapenzi wa jinsia moja kubarikiwa

NA TITUS OMINDE AKINA mama Waislamu na viongozi wa dini hiyo kutoka North Rift wameghadhabishwa na hatua ya kiongozi Kiongozi wa Kanisa...

Mkurugenzi wa kampuni ya ukopeshaji pesa Kilifi ashtakiwa kwa kuwatapeli wateja wake

NA MAUREEN ONGALA MKUREGENZI mkuu wa Shirika la kupeana mikopo la Chembe Merchants Limited amefikishwa mahakamani Kilifi kwa kosa la...