• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Waislamu mjini Eldoret walaani hatua ya Papa Francis kukubali wapenzi wa jinsia moja kubarikiwa

NA TITUS OMINDE AKINA mama Waislamu na viongozi wa dini hiyo kutoka North Rift wameghadhabishwa na hatua ya kiongozi Kiongozi wa Kanisa...

Mkurugenzi wa kampuni ya ukopeshaji pesa Kilifi ashtakiwa kwa kuwatapeli wateja wake

NA MAUREEN ONGALA MKUREGENZI mkuu wa Shirika la kupeana mikopo la Chembe Merchants Limited amefikishwa mahakamani Kilifi kwa kosa la...

David Mugonyi ateuliwa Mkurugenzi Mkuu wa CA kujaza nafasi ya Chiloba

NA LABAAN SHABAAN WAZIRI wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Uchumi Dijitali Eliud Owalo amemteua Mkuu wa Huduma za Mawasiliano...

Kenya Kwanza inaua ujirani mwema, adai Raila

NA LABAAN SHABAAN KIONGOZI wa upinzani Raila Odinga amelaumu Rais William Ruto akidai uhusiano wa Kenya na mataifa ya Jumuiya ya Afrika...

Pokot Magharibi waingiwa na hofu visa vya mauaji vikiripotiwa msimu wa Krismasi

NA OSCAR KAKAI JUHUDI za kusaka amani katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la ufa zimepata pigo huku mauaji na visa vya mashambulio...

Murkomen motoni kwa kudai Rwanda ni taifa la kidikteta

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amelaumiwa kwa kudai kuwa taifa la Rwanda linaongozwa kidikteta ambapo kile...

Musalia ataka Ruto ashauriane na Museveni kuokoa Wakenya 41 wasiozee jela UG

NA SAMWEL OWINO MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi anamtaka Rais William Ruto kushauriana na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni ili...

Pendekezo la kufungwa mangweni za pombe ya mnazi lazua mgawanyiko baina ya viongozi wa kidini, wafanyabiashara

NA ALEX KALAMA VIONGOZI wa kidini na wale wa kibiashara katika Kaunti ya Kilifi wamehitilafiana vikali kuhusu pendekezo la kufungwa...

Madereva, vijana wagaragaza gozi uwanjani kupambana na ulevi Krismasi

NA FRIDAH OKACHI MADEREVA, utingo na vijana kutoka Kikuyu na Kawangware walishiriki mchezo wa kandanda kukabiliana na matumizi ya dawa za...

Msaada wachelewa kuwafikia waathiriwa wa mafuriko Tana River

NA STEPHEN ODUOR WAKAZI wa kijiji cha Ziwani, Kaunti Ndogo ya Tana Kaskazini, wameililia serikali kwa kuwakejeli baada ya kukosa kupokea...

Afisa wa DCI Embu atupwa ndani miaka 30 kwa makosa ya ubakaji na ulawiti

NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCIO) katika kaunti ndogo ya Manyatta iliyoko katika Kaunti ya...

Mlinzi auawa katika uvamizi wa Kanisa la PCEA Rironi, wezi waiba ala za muziki na divai

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Kiambu wanawasaka majambazi ambao walivunja Kanika la Kipresibeteria na kuiba zana za muziki...