NA WYCLIFFE NYABERI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amesema anahofia maisha yake kutokana na juhudi zake za kupinga ushuru wa nyumba...
NA SIAGO CECE USALAMA umeimarishwa katika barabara kuu za Pwani huku watalii wa ndani na wa kigeni wakifurika kwa msimu huu wa sherehe...
NA ALEX KALAMA MUUNGANO wa walimu wa shule za sekondari na vyuo vya kadri (Kuppet) tawi la Kilifi, umetishia kuelekea mahakamani iwapo...
NA MWANGI MUIRURI KULIZUKA kizazaa katika mji wa Maragua ulioko katika Kaunti ya Murang'a baada ya mshukiwa wa ulanguzi wa bangi...
NA MASHIRIKA WASHINGTON, MAREKANI RAIS wa Marekani Joe Biden alipelekwa upesi eneo salama baada ya gari moja nje ya safari ya...
NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Kiunga sasa wanaishinikiza serikali kupitia kwa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini Kenya (KCAA) kwa...
NA MWANGI MUIRURI KAMANDA wa polisi wa Ruiru Bw Alexander Shikondi amesema Rais William Ruto hakudanganya mnamo Desemba 17, 2023,...
NA WINNIE ATIENO WANAFUNZI wa Kidato cha Kwanza wataripoti kwa shule zao kuanzia Januari 15, 2024, baada ya matokeo ya uteuzi kuanikwa...
NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameungama haijakuwa rahisi kuongoza nchi, hasa kuimarisha uchumi uliosambaratika. Dkt Ruto alirithi...
NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto amesuta vikali wanaomkosoa jinsi anavyoendesha nchi akisema alichaguliwa kubadilisha maisha ya...
NA KALUME KAZUNGU KATIKA Kaunti ya Lamu, kuna barabara nne zinazokumbukwa na waja kuwa za mikosi. Hii ni kutokana na kwamba tangu...
NA KALUME KAZUNGU BARABARA ambayo ni kiunganishi cha pekee kufikia vijiji vya Salama, Juhudi, Widho, Marafa, Mashogoni na viungani mwake...