• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Polisi wamzungusha seneta Omtatah akitaka kuandikisha taarifa kwa kuhofia maisha yake

NA WYCLIFFE NYABERI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amesema anahofia maisha yake kutokana na juhudi zake za kupinga ushuru wa nyumba...

Shamrashamra: Usalama waimarishwa wageni wakifurika Pwani

NA SIAGO CECE USALAMA umeimarishwa katika barabara kuu za Pwani huku watalii wa ndani na wa kigeni wakifurika kwa msimu huu wa sherehe...

Muwe makini na matokeo ya KCSE 2023 mkitaka tusiwashtaki, KUPPET yaambia KNEC na wizara

NA ALEX KALAMA MUUNGANO wa walimu wa shule za sekondari na vyuo vya kadri (Kuppet) tawi la Kilifi, umetishia kuelekea mahakamani iwapo...

Muuzaji bangi ang’ata na kurarua mdomo wa polisi aliyefika kumkamata

NA MWANGI MUIRURI  KULIZUKA kizazaa katika mji wa Maragua ulioko katika Kaunti ya Murang'a baada ya mshukiwa wa ulanguzi wa bangi...

Jinsi Rais Joe Biden alivyonusurika gari lilipogonga msafara wake

NA MASHIRIKA WASHINGTON, MAREKANI RAIS wa Marekani Joe Biden alipelekwa upesi eneo salama baada ya gari moja nje ya safari ya...

Wakazi washinikiza ajali za ndege zinazojirudia uwanjani Kiunga zichunguzwe

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Kiunga sasa wanaishinikiza serikali kupitia kwa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchini Kenya (KCAA) kwa...

Ni kweli visa vya uhalifu vimepungua Ruiru, kamanda akariri kauli ya Rais

NA MWANGI MUIRURI KAMANDA wa polisi wa Ruiru Bw Alexander Shikondi amesema Rais William Ruto hakudanganya mnamo Desemba 17, 2023,...

Kidato cha Kwanza: Waziri afichua watahiniwa 28,052 walipuuza kuchagua shule

NA WINNIE ATIENO WANAFUNZI wa Kidato cha Kwanza wataripoti kwa shule zao kuanzia Januari 15, 2024, baada ya matokeo ya uteuzi kuanikwa...

Ruto akiri kuongoza nchi kama Rais si mteremko

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameungama haijakuwa rahisi kuongoza nchi, hasa kuimarisha uchumi uliosambaratika. Dkt Ruto alirithi...

Ruto: Nilichaguliwa kubadilisha maisha ya Wakenya, si kuwania muhula wa pili

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto amesuta vikali wanaomkosoa jinsi anavyoendesha nchi akisema alichaguliwa kubadilisha maisha ya...

Fahamu kuhusu barabara nne zinazowatia hofu wakazi wa Lamu

NA KALUME KAZUNGU KATIKA Kaunti ya Lamu, kuna barabara nne zinazokumbukwa na waja kuwa za mikosi. Hii ni kutokana na kwamba tangu...

Barabara iliyo kumbukumbu ya mauti, vilio katika kaunti ya Lamu

NA KALUME KAZUNGU BARABARA ambayo ni kiunganishi cha pekee kufikia vijiji vya Salama, Juhudi, Widho, Marafa, Mashogoni na viungani mwake...