NA CHARLES WASONGA JUMLA ya maafisa wa 37 wa usalama walikufa wakiwa kazini ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, kulingana na...
NA WINNIE ONAYNDO GAVANA wa Nairobi, Johnson Sakaja Alhamisi, Desemba 14, 2023 alizindua rasmi Kituo cha kutoa Huduma kwa Wateja...
NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Uchukuzi, Bw Kipchumba Murkomen, sasa ameiondolea lawama Kampuni ya Kusambaza Nguvu za Umeme Nchini (KP),...
Na CHARLES WASONGA WAKENYA wamepata afueni kidogo msimu huu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya baada ya serikali kupunguza bei ya...
NA TITUS OMINDE Naftali Kinuthia, 33, aliyepatikana na hatia ya kuua mpenzi wake baada ya kutoalikwa kwa sherehe ya siku ya kuzaliwa,...
Na RICHARD MUNGUTI ILIKUWA furaha na kilio katika mahakama ya Milimani pale aliyekuwa waziri wa fedha Henry Rotich na watu wengine nane...
WASHINGTON, MAREKANI NA MASHIRIKA RAIS wa Marekani Joe Biden alisema siku ya Jumanne kwamba Israel inapoteza uungwaji mkono na mataifa...
NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Kawi Davis Chirchir ameorodheshwa kama waziri mwenye utendakazi duni zaidi miongoni mwa Mawaziri wote 22...
NA WYCLIFFE NYABERI KAMISHINA wa Kisii Tom Anjere amewaonya viongozi wa eneo hilo dhidi ya kulifanyia mzaha suala la usalama wa...
NA BENSON MATHEKA HATUA ya viongozi wa mataifa jirani na ya kigeni kukosa kuhudhuria sherehe za Jamhuri Dei jijini Nairobi imeibua...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ametangaza kuwa wakongwe, mayatima na walemavu wataanza kupokea malipo yao ya Sh2, 000 kila mwezi...
NA RICHARD MAOSI HALI mbaya ya soko katika kituo maarufu cha Kibiashara cha Mlolongo, Machakos imefanya eneo hilo kugeuka maficho ya...