NA SAM KIPLAGAT MUUNGANO wa Azimio La Umoja One Kenya unamtaka Sabina Chege kulazimishwa kurejesha pesa alizolipwa akishikilia wadhifa...
NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ametetea mfumo wake wa utozaji ushuru (VAT), akidai umeondolea Kenya hatari ya madeni na mikopo....
NA SAMMY KIMATU MAKUNDI ya vijana na akina mama waliosajiliwa kwenye miradi ya mandeleo, wanamazingira na makundi mengine ya kijamii...
NA BENSON MATHEKA WAKENYA Jumanne, Desemba 12, 2023 wameadhimisha miaka 60 ya kujitawala bila matumaini huku wakilemewa na gharama ya...
JOHN MUTUA NA MARY WANGARI KAMPUNI ya Kenya Power itaanza kusambaza umeme kwa vipimo, ikilenga eneo la Magharibi katika jitihada za...
Na MASHIRIKA MWANA wa kiume wa Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, Mohammed Hassan Sheikh Mohamud, aliyedaiwa kugonga na kumuua...
Na SAMWEL OWINO MSWADA unatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Kitaifa ili kufanya upashaji tohara wanaume kuwa lazima ukitekelezwa na...
NA CHARLES WASONGA SHIRIKA la ndege nchini Kenya Airways (KQ) limetangaza kuwa kutakuwa na hitilafu katika safari zake ndani ya wiki...
NA RICHARD MAOSI LICHA ya kukamilika kwa mfumo wa masomo wa 8 - 4 - 4, baadhi ya matapeli jijini Nairobi bado wanauza vitabu vya...
NA OSCAR KAKAI MILA POTOVU za ukeketaji zimetajwa kuchangia visa vingi vya dhuluma za kijinsia na vurugu katika familia maeneo ya jamii...
STANLEY NGOTHO na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, sasa anaitaka serikali ya Kenya Kwanza kupunguza...
NA KASSIM ADINASI KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa, Bw Opiyo Wandayi amedai ubora wa matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato...