• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Sabina Chege atakiwa kurejesha pesa alizolipwa bungeni

NA SAM KIPLAGAT MUUNGANO wa Azimio La Umoja One Kenya unamtaka Sabina Chege kulazimishwa kurejesha pesa alizolipwa akishikilia wadhifa...

Ruto: Ushuru tunaotoza wananchi umepunguzia nchi hatari ya madeni na mikopo

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ametetea mfumo wake wa utozaji ushuru (VAT), akidai umeondolea Kenya hatari ya madeni na mikopo....

Madai watu walilipwa kuhudhuria maadhimisho ya Jamhuri Dei Uhuru Gardens

NA SAMMY KIMATU MAKUNDI ya vijana na akina mama waliosajiliwa kwenye miradi ya mandeleo, wanamazingira na makundi mengine ya kijamii...

Jamhuri kavu, Wakenya wakiendelea ‘kusota’

NA BENSON MATHEKA WAKENYA Jumanne, Desemba 12, 2023 wameadhimisha miaka 60 ya kujitawala bila matumaini huku wakilemewa na gharama ya...

Kenya Power kuanza kutoa umeme kwa vipimo ili usipotee mara kwa mara

JOHN MUTUA NA MARY WANGARI KAMPUNI ya Kenya Power itaanza kusambaza umeme kwa vipimo, ikilenga eneo la Magharibi katika jitihada za...

Mwanawe Rais wa Somalia atoroka Uturuki baada ya kuua bodaboda

Na MASHIRIKA MWANA wa kiume wa Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, Mohammed Hassan Sheikh Mohamud, aliyedaiwa kugonga na kumuua...

Mbunge wa Mukurweini ataka tohara iwe lazima kwa wanaume wote Kenya

Na SAMWEL OWINO MSWADA unatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Kitaifa ili kufanya upashaji tohara wanaume kuwa lazima ukitekelezwa na...

Ukosefu wa vipuri waathiri huduma za ndege za KQ

NA CHARLES WASONGA SHIRIKA la ndege nchini Kenya Airways (KQ) limetangaza kuwa kutakuwa na hitilafu katika safari zake ndani ya wiki...

Vitabu vya mitihani ya KCPE vyaendelea kuuzwa licha ya mfumo wa 8-4-4 kuondolewa 

NA RICHARD MAOSI  LICHA ya kukamilika kwa mfumo wa masomo wa 8 - 4 - 4, baadhi ya matapeli jijini Nairobi bado wanauza vitabu vya...

Ukeketaji Pokot Magharibi unavyochangia kina mama kufukuzwa kwenye boma

NA OSCAR KAKAI MILA POTOVU za ukeketaji zimetajwa kuchangia visa vingi vya dhuluma za kijinsia na vurugu katika familia maeneo ya jamii...

Raila amtaka Ruto kushusha bei ya mafuta ya petroli kwa Sh50  

STANLEY NGOTHO na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, sasa anaitaka serikali ya Kenya Kwanza kupunguza...

Wandayi: Dosari za KCPE huenda zikaibuka kwenye KCSE  

NA KASSIM ADINASI KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa, Bw Opiyo Wandayi amedai ubora wa matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato...