NA TITUS OMINDE Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amepuuzilia mbali madai ya kasoro katika usahihishaji wa mtihani wa KCPE mwaka huu huku...
NA BRIAN OCHARO RIPOTI ya matibabu imefichua jinsi uchunguzi wa waathiriwa wa unyanyasaji wa kingono katika vituo vya matibabu unavyoweza...
NA KALUME KAZUNGU WAZIRI wa Afya Susan Nakhumicha amewataka wakazi wa Lamu na wananchi kwa ujumla kuondoa hofu kuhusiana na mlipuko wa...
NA WINNIE ONYANDO WANAOTUMIA mtandao wa kijamii wa TikTok kwa minajili ya kuendeleza biashara sasa wataweza kujichumia hela kupitia...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME Mkenya ameshtakiwa nchini Amerika kwa makosa ya kujaribu kupanga njama kuua mwanamke wa familia yao. Bw...
NA MARY WANGARI KUNDI la wabunge kutoka Kisii limemtetea vikali Mdhibiti wa Bajeti Margaret Nyakang’o, likidai kuwepo maafisa nje na...
NA CHARLES WASONGA SHIRIKA la Kukadiria Ubora wa Bidhaa Nchini (Kebs) limefafanua mafuta ya kupikia yaliyoingizwa nchini na Shirika la...
NA LUCY MKANYIKA WAKULIMA maeneo mbalimbali katika kaunti ya Taita Taveta wanalazimika kulala mashambani mwao ili kulinda mimea na mazao...
NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Kiambu wamezindua msako dhidi ya majambazi watatu wa utekaji nyara wakiwa wakejihami kwa...
NA WINNIE ATIENO NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameendelea kusuta magavana kutokana na janga la mafuriko nchini, akisema kazi yao kubwa ni...
NA CHARLES WASONGA KUKAMATWA na kushtakiwa kwa Msimamizi wa Bajeti (CoB) kwa kosa analodaiwa kutenda 2016, sasa kumechukua mkondo wa...
NA STANLEY NGOTHO WAHUDUMU wa bodaboda katika Kaunti ya Kajiado wamelalamikia ongezeko la visa vya wizi wa pikipiki zao ambapo watu 10...