• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 12:11 PM

Viongozi kutoka Kisii watetea Nyakang’o wakidai anaandamwa kikabila

NA CHARLES WASONGA KUKAMATWA na kushtakiwa kwa Msimamizi wa Bajeti (CoB) kwa kosa analodaiwa kutenda 2016, sasa kumechukua mkondo wa...

Wizi wa pikipiki wazidi wahudumu wakiuawa

NA STANLEY NGOTHO WAHUDUMU wa bodaboda katika Kaunti ya Kajiado wamelalamikia ongezeko la visa vya wizi wa pikipiki zao ambapo watu 10...

Mbunge apendekeza CEO wa IEBC apewe mamlaka ya mwenyekiti wa tume

NA CHARLES WASONGA AFISA Mkuu mtendaji wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) atasimamia chaguzi ndogo za maeneobunge na wadi ikiwa...

El Nino: Mbunge alalamikia ubaguzi katika usambazaji wa chakula Mombasa

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Likoni Bi Mishi Mboko ameishutumu serikali kuu akidai inasambaza chakula cha msaada kwa waathiriwa wa...

Tume ya haki yakatazwa kushiriki kesi Shakahola

NA BRIAN OCHARO MANUSURA wa mauaji ya halaiki ya Shakahola wamepata pigo baada ya mahakama kuzuia Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu...

Kuna ubaguzi katika misaada ya El Nino, mbunge Mishi Mboko adai

Na WINNIE ATIENO Mbunge wa Likoni Bi Mishi Mboko ameishutumu serikali kuu akidai inasambaza chakula cha msaada kwa waathiriwa wa mafuriko...

Raila achemkia Serikali kufuatia kukamatwa kwa Msimamizi wa Bajeti

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga ameikashifu serikali kufuatia kukamatwa na kushtakiwa kwa...

Waliohusika na sheria dhidi ya ushoga Uganda kunyimwa kibali cha kuingia Amerika

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA AMERIKA ilidokeza Jumatatu kuwa itafutilia mbali viza za maafisa wa Uganda ambao walihusika na sheria tata...

Msimamizi wa Bajeti kushtakiwa kwa makosa anayodaiwa kufanya 2016

NA ANTHONY KITIMO Msimamizi wa Bajeti Margaret Nyakang’o na watu wengine 10 wanatazamiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote kuhusiana...

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kuhusu Usalama atishiwa maisha na majangili anaolenga kuzima Rift Valley

NA CHARLES WASONGA MWENYEKITI  wa Kamati ya Bunge kuhusu Usalama Gabriel Tongoyo ameshikilia kuwa kamati hiyo itaendelea kuchunguza...

El-Nino: Gachagua, magavana waendelea kupakana tope

NA WINNIE ATIENO NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameendelea kusuta magavana kutokana na janga la mafuriko nchini akisema kazi yao kubwa ni...

Vijana, akina mama wapokezwa ujuzi kukabiliana na itikadi kali na umaskini

NA KALUME KAZUNGU VIJANA na wanawake wa vijiji vya mpakani mwa Kenya na Somalia wamepokezwa na kuhitimu ujuzi wa taaluma mbalimbali...