• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 8:50 AM

Chuma cha Gavana Arati motoni mahasimu wake kisiasa wakipanga njama kumng’atua 

NA WYCLIFFE NYABERI HUENDA ukuruba wa kisiasa uliokuwepo baina ya Gavana wa Kisii, Simba Arati na naibu wake, Dkt Robert Monda umeingia...

Hofu mila Potovu Pokot Magharibi ikichangia wakazi kuenda haja msituni  

NA OSCAR KAKAI MILA potovu na miiko ambapo watu wa familia moja hawaruhusiwi kutumia choo kimoja, zinachangia wakazi kuenda kujisaidia...

Wakazi Lamu walalamikia miundomsingi duni ya barabara El Nino ikizidi kuwaponda

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wanaoishi pembezoni mwa barabara kuu ya Lamu-Witu-Garsen wameelezea hofu yao kufuatia mvua kubwa inayoendelea...

Wazazi Kisii wataka sava ya KNEC ifunguliwe baadhi ya masomo watahiniwa wakikosa matokeo ya KCPE 2023

NA WYCLIFFE NYABERI SIKU moja baada ya Baraza la Mitihani Nchini (KNEC), kukiri kuwa kulikuwa na hitilafu katika baadhi ya matokeo ya...

Wakulima wageukia kufuga nyuki kutimua wezi wa mazao shambani

NA RICHARD MAOSI. WAKULIMA wadogo vijijini wameanza kukumbatia mfumo wa kufuga nyuki ili kukabiliana na wezi ambao wamekuwa wakivamia...

Shule ya Moi Kabarak Nakuru yaendelea kuficha matokeo yake ya KCPE 2023

NA MERCY KOSKEI SHULE ya msingi ya kibinafsi ya Moi Kabarak katika Kaunti ya Nakuru, imesalia kimya kuhusu matokeo yao ya Mtihani wa...

Ruto asema serikali itaanza kukopa mama mboga na wahudumu wa bodaboda pesa

NA RICHARD MAOSI RAIS William Ruto amesema serikali itaanza kutafuta mikopo kutoka kwa akaunti za Wakenya. Wale ambao wamewekwa...

Huzuni 1 akiuawa na nyumba 10 kuteketezwa moto kwenye shambulio la Al-Shabaab Lamu

NA KALUME KAZUNGU MTU mmoja ameuawa na nyumba 10 kuteketezwa moto baada ya washukiwa wa kundi linaloaminikiwa kuwa Al-Shabaab kuvamia...

Kaunti kuvuna Ripoti ya Kamati ya Mazungumzo ikipendekeza mgao wake usipungue asilimia 20

NA SAMMY WAWERU SERIKALI za Ugatuzi ni kati ya asasi zinazotarajiwa kuvuna pakubwa kupitia Ripoti ya Kamati ya Mazungumzo (NADCO),...

Athari za El Nino: Barabara kuu ya Mombasa- Malindi haipitiki

NA ALEX KALAMA SHUGHULI za uchukuzi katika barabara kuu ya Mombasa-Malindi zimetatizika baada ya sehemu ya barabara hiyo katika daraja...

Athari za El Nino: Mkurupuko wa Kipindupindu Lamu wasababisha hoteli na mikahawa kufungwa

NA KALUME KAZUNGU MIKAHAWA na hoteli zaidi ya 20 zimefungwa huku wachuuzi wa vyakula vya barabarani wakifurushwa vichochoroni katika...

Wakenya kuendelea kuumia Kamati ya Kitaifa kuhusu Mazungumzo ikifeli kutoa mwelekeo kushusha gharama ya maisha

NA CHARLES WASONGA HATIMAYE Kamati ya Kitaifa kuhusu Mazungumzo (NADCO) imetoa ripoti yake ya mwisho lakini imefeli kukubaliana kuhusu...