• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 9:50 AM

Wetang’ula ataka kaunti zitumie pesa kwa nidhamu ya juu

NA WYCLIFFE NYABERI Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula amezitaka serikali za kaunti kutumia rasilimali wanazopewa na serikali ya...

Miili ya vibarua watatu waliozama majini wakizibua mtaro Mombasa bado yatafutwa

Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya kaunti ya Mombasa ikiongozwa na waziri wa uchukuzi Bw Dan Manyala, imeeleza kuwa shughuli za kuopoa miili ya...

KNEC yakiri kulikuwa na dosari katika matokeo ya KCPE

NA WINNIE ONYANDO BARAZA la Mitihani nchini (KNEC) Jumamosi Novemba 25, 2023 lilikiri kulikuwa na dosari katika matokeo ya mtihani wa...

Israeli na Hamas wabadilishana wafungwa na waliokuwa wametekwa

NA MASHIRIKA GAZA, Palestine KUNDI la Hamas limeachilia mateka 24 waliokuwa wamezuiliwa Gaza kwa juma kadhaa na wafungwa 29 wa...

Polisi wawili kusotea jela kwa kujaribu kuzuia kukamatwa kwao kuhusu ulaji hongo

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wawili wa polisi waliopatikana na hatia ya kupokea hongo ya Sh200,000 na kuvuruga utendakazi wa maafisa wa...

Nuru Okanga: Mfuasi sugu wa Raila bado hajapata matokeo ya KCPE

NA SHABAN MAKOKHA Mfuasi sugu wa Kinara wa Azimio Raila Odinga, Nuru Okanga aliyefanya mtihani wa Darasa la Nane mwaka huu, bado...

Jinsi mradi wa magazeti shuleni ulivyoipa shule Eldoret matokeo ya juu KCPE

NA TITUS OMINDE WATAHINIWA bora wa KCPE kutoka Uasin Gishu wamepongeza mradi wa Magazeti Masomoni wa Nation Media Group Newspapers in...

Magharibi yatoa msichana nyota wa KCPE 2023

Na SHABAN MAKOKHA Jacinta Khasungu aliweka eneo la Magharibi kwenye ramani ya kitaifa  baada ya kuibuka kuwa wasichana bora  kote...

Garissa, Kwale zilikuwa na watahiniwa wengi walio na umri mkubwa

Na BENSON MATHEKA Kaunti sita zilikuwa na watahiniwa wa umri wa miaka 18 na zaidi katika mtihani wa KCPE wa mwaka huu. Akitangaza matokeo...

Michael Warutere: Mtahiniwa aliyezoa alama 428 katika KCPE 2023 anataka kuwa Mhandisi

NA SAMMY WAWERU MICHAEL Warutere, ndiye mtahiniwa bora zaidi nchini katika Mtihani wa Kitaifa Darasa la Nane (KCPE) 2023. Kijana...

KCPE: Mtahiniwa bora 2023 aandikisha punguo la alama 3 ikilinganishwa na 2022, akizoa 428

NA SAMMY WAWERU MTAHINIWA bora zaidi katika mtihani wa Kitaifa Darasa la Nane (KCPE) 2023 amezoa alama 428, kwa jumla ya 500...

KCPE 2023: Wasiwasi matokeo ya mtihani yakikawia kutumwa kieletroniki 

NA SAMMY WAWERU HALI ya taharuki imekumba watahiniwa wa Mtihani wa Kitaifa Darasa la Nane (KCPE) 2023, walimu na wazazi kufuatia...