• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Mamia ya watu waripotiwa kuuawa katika vita magharibi mwa Sudan

Na XINHUA KHARTOUM, SUDAN MAMIA ya watu wameuawa na wengine kudhulumiwa katika mapigano katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan,...

Amerika kwa mara nyingine yapatanisha Rwanda na DRC

Na MASHIRIKA KIGALI, RWANDA AMERIKA kwa mara nyingine imejaribu kuleta upatanisho kati ya marais wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Tanzania yakosolewa vikali kufuatia operesheni yake ya kukomesha ukahaba

NA MASHIRIKA DAR-ES-SALAAM, TANZANIA SERIKALI ya Tanzania imekosolewa vikali kutokana na vita yake dhidi ya ukahaba kwa kufanya msako...

Wakuu wa shule waadhibiwa kwa kuruhusu watoto kucheza wimbo wa Zuchu ‘Honey’

Dar es Salaam, Tanzania NA MWANANCHI COMMUNICATIONS LIMITED Baada ya kusambaa kwa kipande cha video kinachowaonyesha wanafunzi wa...

Israel yaua 47 katika kambi ya wakimbizi Gaza ikiandama kamanda wa Hamas

Na AFP UKANDA WA GAZA, Palestina WATU 47 wameuawa baada ya wanajeshi wa Israeli kushambulia kambi kubwa ya wakimbizi katika Ukanda wa...

Wapalestina waliouawa Gaza sasa wafikia 8,000

DEIR AL-BALAH, GAZA NA MASHIRIKA MAMIA ya malori Jumapili yaliingia katika ukanda wa Gaza, yakiwa yamebeba misaada kusaidia maelfu ya...

Mama, 75, ashinda kesi ya kufurusha wanawe wa kiume wasiochangia hata kitunguu licha ya kufanya kazi

NA MASHIRIKA PAVIA, ITALIA MWANAMKE mmoja nchini Italia amechukua hatua ya kisheria kuwatimua wanawe wawili wa kiume wenye umri wa...

Hamas yasema haitaachilia mateka wa Israel mpaka vita vikome

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI AFISA wa Hamas amesema kundi linalotawala Gaza halitaachilia huru waliotekwa hadi makubaliano ya kusitisha...

Hamas yaachilia mateka wawili wakongwe wa Israel misaada ikianza kumiminika Gaza

NA XINHUA JERUSALEM, ISRAELI WANAWAKE wawili wakongwe waliotekwa nyara na Hamas waliachiliwa jana huku Israeli ikiimarisha mashambulizi...

Amerika yaambia kampuni, raia wake wasianzishe biashara Uganda

NA MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA WIZARA za Masuala ya Nje, Ajira, Afya na Huduma za kibinadamu, Biashara, na shirika la Maendeleo la...

Hali tete miili ikianza kuzagaa Gaza huku Israel ikipanga mashambulio ya ardhini

JERUSALEM, ISRAELI NA MASHIRIKA ISRAELI jana iliendelea kuushambulia vikali ukanda wa Gaza kwa makombora ya ndege, huku vikosi vyake...

Jinsi mwanamume aliyebakwa anaweza kulinda ushahidi

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUME aliyebakwa anahitaji kujifunga leso ili kuzuia kufuta ushahidi kabla ya kufanyiwa vipimo hospitalini,...