NA MASHIRIKA RAIS Yoweri Museveni wa Uganda Jumamosi, Septemba 23, 2023 alisema kuwa shambulio la ndege lililotekelezwa na jeshi la...
Na XINHUA NEW YORK, Amerika RAIS wa Ghana Nana Akufo-Addo, amesema Amerika na mataifa ya Uropa sharti yalipe ridhaa kwa Afrika kutokana...
NA MASHIRIKA KIGALI, RWANDA RAIS wa Rwanda Paul Kagame amekiri kuwa atagombea tena urais mwaka 2024. Kagame, ambaye alichaguliwa kuwa...
NA BOB KARASHANI ARUSHA, TANZANIA MAHAKAMA ya Afrika kuhusu Haki za Kibinadamu imeamuru Tanzania kuondoa adhabu za kikatili kutoka kwa...
NA MASHIRIKA MWANAWE Rais wa Amerika Joe Biden, Hunter Biden, Alhamisi alifunguliwa mashtaka ya kumiliki bunduki kinyume cha...
NA MASHIRIKA KINSHASA, DRC MAKAHAMA Kuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemhukumu mgombea urais Jean-Marc Kabund kifungo...
NA MASHIRIKA TRIPOLI, LIBYA IDADI ya watu waliokufa katika mkasa wa mafuriko nchini Libya imepita 6,000 huku karibu watu 7,000...
NA MASHIRIKA DAR ES SALAM, TANZANIA MAMLAKA ya safari za ndege nchini Tanzania (TCAA) imekana madai kuwa iliruhusu ulanguzi wa...
NA MASHIRIKA MARRAKESH, MOROCCO KUFIKIA Jumapili, Septemba 10, 2023, saa kumi na mbili jioni, watu 2,012 walikuwa wamethibitishwa kuaga...
MASHIRIKA Na CHARLES WASONGA TAARIFA iliyotolewa jioni na Wizara ya Masuala ya Ndani ya Morocco inasema kuwa watu 1,037 wamethibitishwa...
NA MASHIRIKA RABAT, MOROCCO IDADI ya walioangamia nchini Morocco kufuatia tetemeko la ardhi imefika watu 632, mkuu wa ufuatiliaji wa...
GEORGE HELAHELA, MCL na CHARLES WASONGA KIVUMBI kimetokea nchini Tanzania baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji...