• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 7:52 PM

Museveni adai jeshi lake liliua wanamgambo

NA MASHIRIKA RAIS Yoweri Museveni wa Uganda Jumamosi, Septemba 23, 2023 alisema kuwa shambulio la ndege lililotekelezwa na jeshi la...

Rais wa Ghana aambia Wazungu walipe Afrika kwa utumwa wa jadi

Na XINHUA NEW YORK, Amerika RAIS wa Ghana Nana Akufo-Addo, amesema Amerika na mataifa ya Uropa sharti yalipe ridhaa kwa Afrika kutokana...

Kagame aweka wazi azma yake ya kuwania tena urais mwakani

NA MASHIRIKA KIGALI, RWANDA RAIS wa Rwanda Paul Kagame amekiri kuwa atagombea tena urais mwaka 2024. Kagame, ambaye alichaguliwa kuwa...

TZ yatakiwa kuondoa adhabu za kikatili katika sheria zake

NA BOB KARASHANI ARUSHA, TANZANIA MAHAKAMA ya Afrika kuhusu Haki za Kibinadamu imeamuru Tanzania kuondoa adhabu za kikatili kutoka kwa...

Hunter amweka babake Rais Biden wa Amerika pabaya kwa tuhuma za uhalifu

NA MASHIRIKA MWANAWE Rais wa Amerika Joe Biden, Hunter Biden, Alhamisi alifunguliwa mashtaka ya kumiliki bunduki kinyume cha...

Mpinzani jela miaka 7 kwa ‘kumtusi’ Rais Tshisekedi

NA MASHIRIKA KINSHASA, DRC MAKAHAMA Kuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemhukumu mgombea urais Jean-Marc Kabund kifungo...

Watu 6,000 waangamia baada ya kimbunga kupiga eneo la kaskazini mashariki mwa Libya

NA MASHIRIKA TRIPOLI, LIBYA IDADI ya watu waliokufa katika mkasa wa mafuriko nchini Libya imepita 6,000 huku karibu watu 7,000...

Tanzania yakana madai ya ulanguzi wa wanyamapori kutoka Serengeti hadi UAE

NA MASHIRIKA DAR ES SALAM, TANZANIA MAMLAKA ya safari za ndege nchini Tanzania (TCAA) imekana madai kuwa iliruhusu ulanguzi wa...

Tetemeko: Watu 2,012 wathibitishwa kufariki nchini Morocco

NA MASHIRIKA MARRAKESH, MOROCCO KUFIKIA Jumapili, Septemba 10, 2023, saa kumi na mbili jioni, watu 2,012 walikuwa wamethibitishwa kuaga...

Idadi ya waliopoteza maisha kwenye tetemeko la ardhi nchini Morocco yafika 1,037

MASHIRIKA Na CHARLES WASONGA TAARIFA iliyotolewa jioni na Wizara ya Masuala ya Ndani ya Morocco inasema kuwa watu 1,037 wamethibitishwa...

Watu 632 wafariki kwenye tetemeko kubwa la ardhi nchini Morocco

NA MASHIRIKA RABAT, MOROCCO IDADI ya walioangamia nchini Morocco kufuatia tetemeko la ardhi imefika watu 632, mkuu wa ufuatiliaji wa...

Maumivu Tanzania bei ya mafuta ikipaa na kupita ya Kenya

GEORGE HELAHELA, MCL na CHARLES WASONGA KIVUMBI kimetokea nchini Tanzania baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji...