• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 11:48 AM

Mtajuta kuturushia makombora, Mkuu wa Jeshi Israel aambia Iran akiapa kulipiza kisasi

Na MASHIRIKA JERUSALEM, Israel MKUU wa Jeshi la Israel Herzi Halevi ameapa kujibu shambulio la Iran huku miito ya kuitaka Israeli...

Kesi ya uhalifu dhidi ya Trump yaanza kusikizwa baada ya kuahirishwa mara kadhaa

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika KESI ya uhalifu dhidi ya Rais wa zamani wa Amerika Donald Trump ilianza Jumatatu jijini New York na...

Iran yaishambulia Israeli kwa msururu wa droni

REUTERS Na WANDERI KAMAU Jerusalem, Israeli IRAN mnamo Jumamosi, Aprili 13, 2024 usiku ilizindua msururu wa mashambulizi ya droni na...

Iran yarusha makombora kuelekea Israel katika hatua inayozua wasiwasi wa vita

FATUMA BARIKI NA MASHIRIKA SERIKALI ya Iran imeanzisha mashambulizi dhidi ya Israel, vyombo vya habari nchini Iran vimesema. Ripoti...

Mwigizaji wa Nollywood afariki kwenye ajali ya boti akienda kuunda filamu

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI wa filamu za Nollywood Junior Pope Odonwodo, almaarufu Jnr Pope ameaga dunia baada ya boti alilokuwa akitumia...

Israel yaua wana 3 wa kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh

UKANDA WA GAZA NA MASHIRIKA WANA watatu wa kiongozi Mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh waliuawa katika shambulizi la anga lililotekelezwa na...

Zuma sasa huru kuwania urais licha ya hukumu ya uhalifu

PRETORIA, AFRIKA KUSINI NA MASHIRIKA RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma yuko huru kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwezi Mei...

Huenda mnichukie lakini lazima tuvamie Rafah, Netanyahu asema

JERUSALEM, Israel Na MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Israel amesema kuwa tarehe imetengwa ya uvamizi wa mji wa Rafah kusini mwa Gaza huku...

Somalia yaambia balozi wa Ethiopia akanyage nje huku uhasama ukizidi kutokota

NA ABDULKADIR KHALIF SOMALIA imefurusha balozi wa Ethiopia nchini humo huku uhasama ukiendelea kutokota kati ya nchi hizo mbili kutokana...

Biden aendelea kumchoka kabisa Netanyahu kwa jinsi ‘anavyolipua raia’ Gaza

Na MASHIRIKA WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden ameitaka Israel kulinda raia wa Palestina na wafanyakazi wa mashirika ya kutoa...

Aliyepandikiziwa figo ya nguruwe aruhusiwa kwenda nyumbani

WASHINGTON DC, AMERIKA NA MASHIRIKA MWANAUME wa kwanza kupandikizwa figo iliyobadilishwa vinasaba kutoka kwa nguruwe aliruhusiwa kwenda...

Spika wa Bunge ajiuzulu akitarajia kunyakwa wakati wowote kwa tuhuma za ufisadi

JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI NA MASHIRIKA SPIKA wa Bunge la Afrika Kusini Bi Nosiviwe Mapisa-Nqakula alijiuzulu wadhifa wake baada ya...