• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

Mvumbuzi wa bastola ya Glock aaga dunia

NA MASHIRIKA GASTON Glock, mhandisi na bwanyenye aliyetengeneza bastola aina ya Glock 17, aliaga dunia Desemba 27, 2023, akiwa na umri...

Aachiliwa miaka 48 baadaye kwa kosa ambalo hakutenda

NA WANDERI KAMAU MWANAMUME nchini Amerika ameachiliwa gerezani baada ya kufungwa miaka 48, alipopatikana bila hatia kutokana na mashtaka...

Raia wa Uganda wafurika Kenya kununua bidhaa

NA DAILY MONITOR MAMIA ya raia wa Uganda wanavuka mpaka wa Busia kuingia nchini Kenya ili kununua bidhaa kama vile vitambaa na mavazi...

Rais Samia Suluhu avunja bodi ya Tanesco kufuatia kupotea kwa umeme

NA CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alichukua hatua ya kijasiri zaidi kwa kuvunja bodi ya Kampuni ya Usambazaji...

Jinsi Rais Joe Biden alivyonusurika gari lilipogonga msafara wake

NA MASHIRIKA WASHINGTON, MAREKANI RAIS wa Marekani Joe Biden alipelekwa upesi eneo salama baada ya gari moja nje ya safari ya...

Mudavadi asema Kenya, DRC haziko katika mgogoro wa kidiplomasia

NA TITUS OMINDE SERIKALI ya Kenya haiko katika mgogoro wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kinara wa Mawaziri na...

Amerika yaanza kunawa mikono kuhusu vita vya Israel ukanda wa Gaza

WASHINGTON, MAREKANI NA MASHIRIKA RAIS wa Marekani Joe Biden alisema siku ya Jumanne kwamba Israel inapoteza uungwaji mkono na mataifa...

Mwanawe Rais wa Somalia atoroka Uturuki baada ya kuua bodaboda

Na MASHIRIKA MWANA wa kiume wa Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, Mohammed Hassan Sheikh Mohamud, aliyedaiwa kugonga na kumuua...

Bobi Wine ashambuliwa kwa madai yake kuhusu sheria ya ushoga Uganda

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA MWANASIASA wa Uganda Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine, amekosolewa vikali kwa kudai kwamba Rais...

Mkenya wa miaka 52 ashtakiwa Amerika kwa kupanga kuua bibi yake 

NA MWANGI MUIRURI  MWANAMUME Mkenya ameshtakiwa nchini Amerika kwa makosa ya kujaribu kupanga njama kuua mwanamke wa familia yao. Bw...

Waliohusika na sheria dhidi ya ushoga Uganda kunyimwa kibali cha kuingia Amerika

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA AMERIKA ilidokeza Jumatatu kuwa itafutilia mbali viza za maafisa wa Uganda ambao walihusika na sheria tata...

COP28: Wanaharakati wakubaliwa kuandamana kupinga matumizi ya visukuku, machafuko Gaza

NA JACOB WALTER Akiwa DUBAI, UAE HATIMAYE wanaharakati wamekubaliwa kuandamana jijini Dubai katika Milki za Kiarabu (UAE) ili kutoa...