NA MASHIRIKA GASTON Glock, mhandisi na bwanyenye aliyetengeneza bastola aina ya Glock 17, aliaga dunia Desemba 27, 2023, akiwa na umri...
NA WANDERI KAMAU MWANAMUME nchini Amerika ameachiliwa gerezani baada ya kufungwa miaka 48, alipopatikana bila hatia kutokana na mashtaka...
NA DAILY MONITOR MAMIA ya raia wa Uganda wanavuka mpaka wa Busia kuingia nchini Kenya ili kununua bidhaa kama vile vitambaa na mavazi...
NA CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alichukua hatua ya kijasiri zaidi kwa kuvunja bodi ya Kampuni ya Usambazaji...
NA MASHIRIKA WASHINGTON, MAREKANI RAIS wa Marekani Joe Biden alipelekwa upesi eneo salama baada ya gari moja nje ya safari ya...
NA TITUS OMINDE SERIKALI ya Kenya haiko katika mgogoro wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kinara wa Mawaziri na...
WASHINGTON, MAREKANI NA MASHIRIKA RAIS wa Marekani Joe Biden alisema siku ya Jumanne kwamba Israel inapoteza uungwaji mkono na mataifa...
Na MASHIRIKA MWANA wa kiume wa Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, Mohammed Hassan Sheikh Mohamud, aliyedaiwa kugonga na kumuua...
NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA MWANASIASA wa Uganda Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine, amekosolewa vikali kwa kudai kwamba Rais...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME Mkenya ameshtakiwa nchini Amerika kwa makosa ya kujaribu kupanga njama kuua mwanamke wa familia yao. Bw...
NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA AMERIKA ilidokeza Jumatatu kuwa itafutilia mbali viza za maafisa wa Uganda ambao walihusika na sheria tata...
NA JACOB WALTER Akiwa DUBAI, UAE HATIMAYE wanaharakati wamekubaliwa kuandamana jijini Dubai katika Milki za Kiarabu (UAE) ili kutoa...