• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 3:46 PM

AFYA: Fahamu jinsi unavyoweza kuzuia lehemu mbaya

NA MARGARET MAINA [email protected] ILI kupunguza viwango vyako vya lehemu mbaya, fuata mtindo wa ulaji unaozingatia afya...

SHINA LA UHAI: Fahamu chakula unachofaa kula baada ya mazoezi

NA MARGARET MAINA [email protected] WAKATI wa kupanga namna ya kufanikisha mazoezi, kuna mengi ambayo unafaa kuyazingatia endapo...

Kongamano kujadili mifumo ya afya barani laanza

NA PAULINE ONGAJI akiwa KIGALI, Rwanda KONGAMANO la Kimataifa kuhusu Afya ya Umma barani (CPHIA 2021) liling’oa nanga Jumanne jijini...

SHINA LA UHAI: Dalili za ukosaji wa kafeni kwa mraibu

NA MARGARET MAINA [email protected] KUACHA kafeni kunaweza kusababisha dalili kadhaa, ikiwa ni pamoja na maumivu ya kichwa,...

Matumizi mbalimbali ya zaatari almaarufu Thyme

NA MARGARET MAINA [email protected] ZAATARI ni mmea unaofanya vizuri katika maeneo ya Mediterania na watu wengi hutumia hasa kwa...

SHINA LA UHAI: Nilizaliwa na HIV; kila siku napambana kuhamasisha jamii kujilinda

NA PETER CHANGTOEK ALIZALIWA akiwa na virusi vya Ukimwi na amekuwa akiishi na virusi hivyo kwa takribani miongo mitatu. Cleopatra...

Dalili za upungufu wa iodini mwilini

NA MARGARET MAINA [email protected] IODINI ni madini muhimu ambayo hupatikana katika samaki wa baharini. Tezi ya binadamu...

Jinsi ya kufanya mazoezi kwa ufanisi katika maisha ya kila siku

NA MARGARET MAINA [email protected] UNAWEZA kuhisi kulemewa unapojaribu kupata wakati wa kufanya mazoezi. Sote aghalabu...

SHINA LA UHAI: Hofu magonjwa ya mdomo yakiongezeka nchini

NA WANGU KANURI JE, unapiga mswaki mara ngapi kwa siku? Ikiwa wewe ni miongoni mwa maelfu ya Wakenya wanaosafisha mdomo mara moja kwa...

BORESHA AFYA: Kwa afya ya akili

NA PAULINE ONGAJI UNAPOPANGA kuzingatia lishe bora, ni jambo la busara kutilia maanani kila sehemu ya mwili wako ikiwa ni pamoja na afya...

Chumvi nyingi huzidisha msongo wa mawazo – Utafiti

NA CECIL ODONGO ULAJI wa chumvi nyingi umekuwa ukihusishwa na maradhi tele kama vile shinikizo la damu, magonjwa ya moyo, kiharusi kati...

SHINA LA UHAI: Je, wajua muziki ni dawa ya maradhi mbalimbali?

NA JURGEN NAMBEKA KWA watu wengi, muziki hutumika tu kwa ajili ya kujiburudisha. Lakini je, wajua kwamba muziki pia ni dawa na...