NA PETER CHANGTOEK ALEE Kagwa alianza kuwafuga sungura miaka mitano iliyopita kama uraibu tu. Hata hivyo, baada ya mtu mmoja...
NA LEONARD ONYANGO KUENDESHA baiskeli ni moja ya mazoezi yanayopigiwa upatu katika kuboresha afya. Baadhi ya wataalamu wanasema kuwa...
NA SAMMY WAWERU HALI si hali tena katika sekta ya ufugaji nchini, kufuatia kuendelea kuongezeka kwa bei ya chakula cha mifugo. Mfumko...
NA WANDERI KAMAU MAMLAKA ya kusimamia mazao nchini China imemaliza mchakato wa kutathmini ubora wa maparachichi kutoka Kenya, hali...
NA RICHARD MAOSI MTINDO wa aquaponics ni mfumo wa uzalishaji chakula na kwa wakati huo mkulima anaweza kawafuga samaki hii ikiwa ni...
NA LABAAN SHABAAN ÉCLAIR ni chapa ya Kenya yenye shauku ya kutengeneza bidhaa za watoto za viwango vya juu. Ilianza kama kituo cha...
NA SAMMY WAWERU CATHERINE Mbili amekuwa mkulima wa nafaka kwa zaidi ya miaka 25 Kaunti ya Makueni, eneo ambalo ni kame. Aliingilia...
NA PETER CHANGTOEK BAADHI ya wavuvi ambao huvua samaki katika Ziwa Victoria, wanalalamika kuwa, idadi ya samaki imekuwa ikipungua katika...
NA SAMMY WAWERU BEI ya chakula cha mifugo cha madukani ingali ghali, licha ya serikali kutangaza mikakati kuishusha. Mikakati hiyo...
NA RICHARD MAOSI KUNA changamoto nyingi zinazowakumba wakulima wa mahindi, wengi wao wakishindwa kubaini idadi kamili ya mbegu ambazo...
NA PETER CHANGTOEK WAKULIMA wanaokuza maua aina ya Arabicum, wanalilia usaidizi kwa sababu ya ugonjwa unaothiri mimea yao. Ugonjwa...
NA SAMMY WAWERU MAPARACHICHI ni kati ya matunda ambayo kwa sasa yana soko lenye ushindani mkuu, ikilinganishwa na miaka ya...