• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 12:05 PM

Manifesto: Wanasiasa wahimizwa waweke zingatio kwa sekta ya kilimo

NA SAMMY WAWERU WAGOMBEA wa viti mbalimbali vya kisiasa wametakiwa kuipa kipau mbele sekta ya kilimo kwenye manifesto zao,...

Kilimo: Wanafunzi 20 wa UoN wanufaika na mpango wa mafunzo yanayosimamiwa na Elgon Kenya

NA SAMMY WAWERU WANAFUNZI 20 wa Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN) waliofuzu kwa taaluma mbalimbali za kilimo wamepata fursa katika kampuni ya...

Akita kwa kilimo mseto baada ya kuacha ualimu

NA PETER CHANGTOEK UGONJWA wa Covid-19 ulipoingia nchini, watu wengi walitafuta njia mbadala za kujipatia riziki. Margaret Njenga ni...

UJASIRIAMALI: Wadumisha soko la maua ya waridi

NA LABAAN SHABAAN KAMPUNI ya maua ya Red Lands Roses eneo la Ruiru Kaunti ya Kiambu imedumu kwa takriban miaka 30. Ni maarufu nchini...

NJENJE: Pakistan sasa yaongoza kwa ununuzi wa bidhaa za Kenya

NA WANDERI KAMAU PAKISTAN iliipita Uganda kama nchi ambayo Kenya inauza bidhaa zake kwa wingi, kwenye robo ya kwanza ya mwaka huu,...

ZARAA: Wakulima washauriwa wafanye vipimo vya udongo

NA SAMMY WAWERU NI muhimu udongo kufanyiwa ukaguzi na vipimo kujua kiwango cha rutuba iliyomo na cha madini yanayohitajika...

UFUGAJI: Anazingatia mbinu bora kuwafuga ng’ombe wake

NA SAMMY WAWERU MRADI wa ng’ombe wa maziwa wa Edwin Njuguna, anaouendelezea katika Kaunti ya Murang’a ni wenye manufaa...

FAO yafanya majaribio ya mpango wa kudhibiti shughuli za ufugaji wa kuku Nairobi, Kiambu

NA SAMMY WAWERU SHIRIKA la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), limezindua mradi wa majaribio kudhibiti hatari zinazotokana na...

Serikali ya Kenya yakosolewa kwa kupuuza sekta ya ufugaji

NA SAMMY WAWERU SERIKALI ya Kenya imeshauriwa kuipa kipau mbele sekta ya ufugaji kufuatia mchango wake mkuu katika uboreshaji...

Abuni apu ya ‘Mkulima Young’ inayosaidia wakulima kuuza bidhaa zao

NA PETER CHANGTOEK MARA nyingi, wakulima wamekuwa wakiyazalisha mazao ya shambani lakini hawapati soko la kuuzia. Ni kwa muktadha...

NJENJE: Serikali kuagiza mahindi kudhibiti bei ya unga iliyogonga Sh150

NA WANDERI KAMAU KENYA inapanga kuanza kuagiza mahindi kutoka nchi zilizo nje ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ili kudhibiti bei za...

UJASIRIAMALI: Ugonjwa wa lupus haujamzuia kusaka riziki kupitia ushonaji

NA LABAAN SHABAAN GRACE Mwangi, 27, alifutwa kazi ya uhudumu wa duka la vifaa Juni 2021. Hata hivyo, haikuwa rahisi kufanya kazi hii...