NA SAMMY WAWERU WAGOMBEA wa viti mbalimbali vya kisiasa wametakiwa kuipa kipau mbele sekta ya kilimo kwenye manifesto zao,...
NA SAMMY WAWERU WANAFUNZI 20 wa Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN) waliofuzu kwa taaluma mbalimbali za kilimo wamepata fursa katika kampuni ya...
NA PETER CHANGTOEK UGONJWA wa Covid-19 ulipoingia nchini, watu wengi walitafuta njia mbadala za kujipatia riziki. Margaret Njenga ni...
NA LABAAN SHABAAN KAMPUNI ya maua ya Red Lands Roses eneo la Ruiru Kaunti ya Kiambu imedumu kwa takriban miaka 30. Ni maarufu nchini...
NA WANDERI KAMAU PAKISTAN iliipita Uganda kama nchi ambayo Kenya inauza bidhaa zake kwa wingi, kwenye robo ya kwanza ya mwaka huu,...
NA SAMMY WAWERU NI muhimu udongo kufanyiwa ukaguzi na vipimo kujua kiwango cha rutuba iliyomo na cha madini yanayohitajika...
NA SAMMY WAWERU MRADI wa ng’ombe wa maziwa wa Edwin Njuguna, anaouendelezea katika Kaunti ya Murang’a ni wenye manufaa...
NA SAMMY WAWERU SHIRIKA la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), limezindua mradi wa majaribio kudhibiti hatari zinazotokana na...
NA SAMMY WAWERU SERIKALI ya Kenya imeshauriwa kuipa kipau mbele sekta ya ufugaji kufuatia mchango wake mkuu katika uboreshaji...
NA PETER CHANGTOEK MARA nyingi, wakulima wamekuwa wakiyazalisha mazao ya shambani lakini hawapati soko la kuuzia. Ni kwa muktadha...
NA WANDERI KAMAU KENYA inapanga kuanza kuagiza mahindi kutoka nchi zilizo nje ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ili kudhibiti bei za...
NA LABAAN SHABAAN GRACE Mwangi, 27, alifutwa kazi ya uhudumu wa duka la vifaa Juni 2021. Hata hivyo, haikuwa rahisi kufanya kazi hii...