• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 2:08 PM

JUNGU KUU: Hofu ya Ruto ‘kutekwa’ na mawaziri rafiki zake

NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto anakabiliwa na kibarua kigumu kutimiza ahadi alizotoa kwa Wakenya, baada ya baraza lake la mawaziri...

JAMVI LA SIASA: Ruto angemtumia Kalonzo kuatika mbegu ya udikteta

NA CHARLES WASONGA JUHUDI za Rais William Ruto za kutaka kumvutia kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka katika serikali yake ya Kenya Kwanza...

KIGODA CHA PWANI: Wapigakura watarajia makuu kwa wawakilishi wao wa kike

NA MWANDISHI WETU JE, wabunge wa kaunti wanaowakilisha kina mama katika ukanda wa Pwani wana mipangilio gani kwa wananchi waliowachagua...

JUKWAA WAZI: Junet, Ichung’wa wakabana koo kuhusu ‘umahsusi’ wa Linturi wizarani

NA WANDERI KAMAU BILA shaka, ni hitaji la msingi kwa waziri kufahamu majukumu anayofaa kutekekeza katika wizara aliyoteuliwa...

JUNGU KUU: Mzozo mpya Meru mtihani kwa Ruto

NA WANDERI KAMAU MASAIBU yanayomkumba Gavana Kawira Mwangaza wa Meru, yamefungua ukurasa mpya kuhusu mivutano ambayo imekuwepo kati ya...

JUNGU KUU: Hofu Ruto anadhibiti bunge na mahakama

NA CHARLES WASONGA HUKU Rais William Ruto akimaliza mwezi mmoja tangu kuapishwa kwake kuwa rais wa tano wa Jamhuri ya Kenya, maswali...

MIKIMBIO YA SIASA: Gumzo mtaani MaDVD kupewa afisi kichochoroni

NA CHARLES WASONGA UTATA umegubika uhalali wa cheo cha Kinara wa Mawaziri ambacho Rais William Ruto alimtunuku kiongozi wa ANC Musalia...

WALIOBOBEA: Noah Wekesa ni daktari aliyejaribu siasa akavuna

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK NOAH Mahalang’ang’a Wekesa alikutana na Mwai Kibaki katika Chuo Kikuu cha Makerere. Katika chuo hicho,...

Muhoozi: Ruto katika njia panda

NA WANDERI KAMAU MATAMSHI ya mwanawe Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kanairugaba, kwamba huenda akaishabulia Kenya na...

KIGODA CHA PWANI: Maendeleo Pwani yanahitaji umoja wa viongozi wa huko

NA PHILIP MUYANGA WAKATI wa kuchaguliwa kwa spika wa bunge la seneti, baadhi ya wabunge wa Pwani wa muungano wa Azimio la Umoja One...

MIKIMBIO YA SIASA: Faida na zigo la KK kama wengi bungeni

NA CHARLES WASONGA KUTAWAZWA kwa mrengo wa Kenya Kwanza (KKA) kuwa mrengo wa walio wengi katika bunge la kitaifa sasa kutamwezesha Rais...

JUNGU KUU: Ruto atakavyopanga ‘wazee’ Uhuru, Raila

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto anapanga kuhakikisha kuwa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta na mshirika wake katika Azimio la Umoja One...