• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 3:25 PM

KIGODA CHA PWANI: Ni nani atakuwa macho na masikio ya Rais Ruto Pwani?

NA PHILIP MUYANGA HUKU rais mteule Dkt William Ruto akisubiri kutwaa mamlaka rasmi siku ya Jumanne atakapoapishwa,inasubiriwa kuonekana...

JUNGU KUU: Kibarua cha Raila na Uhuru kuokoa Azimio

NA BENSON MATHEKA VIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya, Uhuru Kenyatta na Raila Odinga, wanakabiliwa na kibarua kigumu kuudumisha...

Ruto pagumu kuwatosheleza ‘wageni wapya’

NA WANDERI KAMAU RAIS Mteule William Ruto anakabiliwa na kibarua kigumu kutimiza ahadi alizotoa kwa washirika wake wa kisiasa, kutokana...

MIKIMBIO YA SIASA: Itabidi watorokao Azimio ‘wajipange’

NA CHARLES WASONGA HUENDA kukatokea mvutano kati ya wanasiasa wanaogura muungano wa Azimio na kujiunga na Kenya Kwanza na wandani wa...

WALIOBOBEA: Ndwiga, waziri mtulivu aliyechapa kazi vyema

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK PETER Njeru Ndwiga, waziri wa Ustawi wa Vyama vya Ushirika katika Baraza la Mawaziri la Kwanza la Mwai...

DARUBINI YA WIKI

\\172.16.22.236\Content

MIKIMBIO YA SIASA: Kamket aliichakaza Kanu bondeni kwa kuunga Ruto

NA CHARLES WASONGA HATUA ya Mbunge wa Tiaty William Kamket kujiunga na muungano wa Kenya Kwanza (KKA) imetajwa kama mwanzo wa mwisho wa...

JUNGU KUU: Hatari ya magavana waliomaliza mihula yao kuwa maseneta

NA BENSON MATHEKA HUENDA utawala wa magavana kadhaa ukakosa kupigwa darubini baada ya watangulizi wao kushinda useneta. Wachanganuzi...

MIKIMBIO YA SIASA: Weta acheza pata potea

NA CHARLES WASONGA HUENDA Seneta Mteule wa Bungoma Moses Wetang’ula anacheza karata ya pata potea kufuatia uamuzi wake wa kujitosa...

KIGODA CHA PWANI: Yaelekea PAA haijatosha kuwa sauti ya Wapwani

NA PHILIP MUYANGA JE chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kimeweza kutimiza matarajio ya kuwa chama chenye ushawishi mkubwa wa...

WALIOBOBEA: Nyota ya Kituyi ilianza kung’aa akiwa chuoni

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK JINSI kijana Daudi alivyomuangusha Goliath kwa vipande vitano vya mawe huku waliotazama wakikosa kuamini,...

WALIOBOBEA: Akaranga alivyobadilisha sekta ya umma nchini

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MOSES Akaranga, mtaalamu wa Benki aliyebadilika kuwa kasisi, anakumbukwa kwa kuanzisha kandarasi za kazi...