• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:00 PM

WALIOBOBEA: Ndwiga, waziri mtulivu aliyechapa kazi vyema

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK PETER Njeru Ndwiga, waziri wa Ustawi wa Vyama vya Ushirika katika Baraza la Mawaziri la Kwanza la Mwai...

DARUBINI YA WIKI

\\172.16.22.236\Content

MIKIMBIO YA SIASA: Kamket aliichakaza Kanu bondeni kwa kuunga Ruto

NA CHARLES WASONGA HATUA ya Mbunge wa Tiaty William Kamket kujiunga na muungano wa Kenya Kwanza (KKA) imetajwa kama mwanzo wa mwisho wa...

JUNGU KUU: Hatari ya magavana waliomaliza mihula yao kuwa maseneta

NA BENSON MATHEKA HUENDA utawala wa magavana kadhaa ukakosa kupigwa darubini baada ya watangulizi wao kushinda useneta. Wachanganuzi...

MIKIMBIO YA SIASA: Weta acheza pata potea

NA CHARLES WASONGA HUENDA Seneta Mteule wa Bungoma Moses Wetang’ula anacheza karata ya pata potea kufuatia uamuzi wake wa kujitosa...

KIGODA CHA PWANI: Yaelekea PAA haijatosha kuwa sauti ya Wapwani

NA PHILIP MUYANGA JE chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kimeweza kutimiza matarajio ya kuwa chama chenye ushawishi mkubwa wa...

WALIOBOBEA: Nyota ya Kituyi ilianza kung’aa akiwa chuoni

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK JINSI kijana Daudi alivyomuangusha Goliath kwa vipande vitano vya mawe huku waliotazama wakikosa kuamini,...

WALIOBOBEA: Akaranga alivyobadilisha sekta ya umma nchini

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MOSES Akaranga, mtaalamu wa Benki aliyebadilika kuwa kasisi, anakumbukwa kwa kuanzisha kandarasi za kazi...

SOKOMOKO WIKI HII: Cherera alivyopiga chenga Wakenya kwa ‘mahesabu ya ajabu’

NA CHARLES WASONGA WIKI hii Naibu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Juliana Cherera aliwapa Wakenya zoezi gumu la...

Wingu jeusi lakumba mustakabali wa kisiasa wa Mudavadi baada ya kushindwa katika ngome yake

NA CHARLES WASONGA MUSTAKABALI wa kisiasa wa kiongozi wa Chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi umo hatarini baada ya...

Nguvu za Ruto Mlimani zatikisa usemi wa Rais

NA WANDERI KAMAU USHINDI mkubwa wa Naibu Rais William Ruto katika eneo la Mlima Kenya kwenye uchaguzi uliofanyika Jumanne, umemweka Rais...

Mkuki kwa Raila, kwa Ruto mchungu

NA CHARLES WASONGA VUTA nikuvute inayoendelea kati ya serikali na mrengo wa Kenya Kwanza kuhusiana na madai ya kutumika kwa machifu...