• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

SOKOMOKO WIKI HII: Wajackoyah na mdogowe walivyopigwa na ‘radi’ kali

NA CHARLES WASONGA NUSRA mgombeaji wa urais wa chama cha Roots, Prof George Luchiri Wajackoyah ampoteze mwaniaji mwenza wake, Justina...

JUNGU KUU: Hatari ya Mlima kutengwa na rais

NA WANDERI KAMAU ENEO la Mlima Kenya liko hatarini kutengwa kisiasa baada ya uchaguzi mkuu wa Jumanne, kwa kukosa kuwa na chama kimoja...

WALIOBOBEA: Musikari aliiga Kibaki, akakabili ufisadi vikali

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MUSIKARI Nazi Kombo alikuwa mwanafunzi wa kidato cha sita mwaka wa 1966 wakati darasa lake lilimwalika...

IEBC: Kilio cha Raila kinampa Ruto maksi

NA LEONARD ONYANGO MALALAMISHI ya mwaniaji wa urais wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga dhidi ya Tume ya Uchaguzi (IEBC) huenda yakampa...

KIGODA CHA PWANI: Madai ya ‘mradi wa Joho’ yamtia doa Abdulswamad

NA PHILIP MUYANGA JE uhusiano wa karibu wa kisiasa ambao mbuge wa Mvita Abdulswamad Shariff Nassir anao na Gavana Ali Hassan Joho...

WALIOBOBEA: Mudavadi ‘alilelewa’ na Moi ‘akafufuliwa’ na Raila

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK WYCLIFFE Musalia Mudavadi alikuwa sehemu ya serikali ya kwanza ya muungano nchini Kenya, ambayo...

Ukora wa bunge la 12 na kamati zake

NA CHARLES WASONGA UTENDAKAZI wa Bunge la 12 ambao ulitamatisha vikao vyake juzi na kutoa nafasi kwa wabunge na maseneta kushiriki...

JUNGU KUU: Wawaniaji wa ODM Nyanza hawapumui

NA CHARLES WASONGA WAWANIAJI wa viti mbalimbali, hasa ugavana, kwa tiketi ya ODM kati eneo la Nyanza watalazimika kujikaza kisabuni...

KIGODA CHA PWANI: Raila na Ruto kutumia ardhi kama chambo cha kampeni

NA PHILIP MUYANGA TAKRIBAN chini ya siku sabini kabla ya uchaguzi wa Agosti 9 kivumbi cha kampeni za kisiasa katika ukanda wa Pwani...

JUNGU KUU: Raila katika hatari ya kupoteza usemi Nyanza

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anakabiliwa na hatari ya kupoteza viti vya ugavana katika ngome yake ya Nyanza kutokana...

KIGODA CHA PWANI: Ngoma ya umoja wa kisiasa Pwani imepoa, je kunani?

NA BENSON MATHEKA NI takriban miezi mitatu tu iliyosasalia kabla ya uchaguzi mkuu ujao na suala la umoja wa Pwani lililokuwa vinywani...

MIKIMBIO YA SIASA: Watumishi wafahamu afadhali nusu ya shari

NA LEONARD ONYANGO IDADI Kubwa ya maafisa wa serikali waliojiuzulu kufikia Februari 9, mwaka huu, na kujitosa katika siasa walikosa...