• Nairobi
  • Last Updated December 4th, 2023 6:37 PM

Kingi apata jukwaa kupaa na kuwa kiongozi wa taifa

NA PHILIP MUYANGA JE, kuwekwa saini kwa mkataba wa ushirikiano baina ya chama cha Pamoja African Alliance (PAA) na kile cha Jubilee...

Presha yamzidia Kalonzo aeleze msimamo upesi

NA BENSON MATHEKA PRESHA inaongezeka kwa Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka kufanya uamuzi kuhusu mwelekeo wake wa kisiasa huku uchaguzi...

JUKWAA WAZI: Murkomen ‘amkaribisha’ rasmi Natembeya siasani kwa mishale mikali

Na WANDERI KAMAU BAADA ya kutangaza kujitosa kwenye ulingo wa siasa mapema mwezi huu wa Januari, aliyekuwa Mshirikishi Mkuu wa eneo la...

KIGODA CHA PWANI: PAA yayumba kuhusu itakayeunga kwa urais

NA PHILIP MUYANGA JE, msimamo wa chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kuhusiana na uungaji mkono wa wagombeaji wa urais ni...

WALIOBOBEA: Beth Mugo: Aliacha alama katika sekta za Elimu, Afya

KWA HISANI YA KYB KABLA ya kujiunga na siasa ambako aliacha alama isiyoweza kufutika katika haki za binadamu na katika sekta za elimu na...

JUNGU KUU: Hatua ya Mudavadi inaweza kumponza

Na BENSON MATHEKA HATUA ya kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi kuungana na Naibu Rais William Ruto...

Ruto hatarini kwa ‘kubagua’ vyama vidogo Mlima Kenya

Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto anakabiliwa na kibarua kigumu kudumisha uungwaji mkono katika eneo la Mlima Kenya ielekeapo...

Kiini cha vyama vya Pwani kutovuma kitaifa

NA PHILIP MUYANGA Licha ya ukanda wa Pwani kuwa na takriban vyama vitano, hakuna chama ambacho kinaweza kujivunia kuwa kimekita mizizi...

Upweke wajaa Ford Kenya Olago naye aking’oka

NA CHARLES WASONGA MUSTAKABALI wa chama cha Ford Kenya uko hatarini kufuatia idadi kubwa ya wanachama wake wanaokihama na kujiunga na...

Mawaziri wanaootea siasa wana kibarua!

NA BENSON MATHEKA Huku Rais Uhuru Kenyatta akitarajiwa kubadilisha Baraza la Mawaziri wakati wowote wale wanaomezea mate viti vya...

Wazo la Raila laweza kuzima mzozo ndani ya Azimio

NA CHARLES WASONGA HUENDA mvutano ukatokea ndani ya vuguvugu la Azimio la Umoja kufuatia tangazo la kiongozi wa ODM Raila Odinga kwamba...

Sababu za Ahmed Khalif kuwa waziri kwa siku 20 pekee

NA KYB Ahmed Mohammed Khalif, aliyekuwa mbunge wa Wajir Magharibi alikuwa mbunge wa pekee kutoka eneo la Kaskazini Mashariki...