• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Mivutano Azimio inavyohujumu mipango ya Raila kuingia Ikulu

NA CHARLES WASONGA VUTA nikuvute ndani ya muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya huenda ikavuruga ndoto ya mgombeaji wake wa urais Raila...

Uhuru atakavyodhibiti serikali ya Raila

NA LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta atakuwa na usemi mkubwa katika serikali ya muungano wa Azimio iwapo mwaniaji wake Raila Odinga...

WALIOBOBEA: Parpai aliangusha mbabe, akawa waziri miezi 7 tu

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK GEOFFREY Mapukori Parpai ni waziri aliyehudumu kwa muda mfupi, wa miezi saba, katika Baraza la Mawaziri la...

KIGODA CHA PWANI: Kingi atikisa siasa za Kilifi na Mombasa kwa kuhamia chama cha PAA

KUHAMIA kwa Naibu Gavana wa Mombasa, Dkt William Kingi hadi chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kutoka kile cha Orange Democratic...

MIKIMBIO YA SIASA: Mudavadi ahisi tetemeko kuu

HUKU chama Amani National Congress (ANC) kikijiandaa kwa kura za mchujo zinazoanza Jumanne, Aprili 12, imebainika kuwa chama hicho...

JUNGU KUU: Ukosoaji wa Ruto wamletea presha

NA BENSON MATHEKA HATUA ya Naibu Rais, Dkt William Ruto ya kukosoa serikali imemsawiri kama kiongozi aliyeshindwa kutekeleza au...

Tiketi zinavyoweka Ruto mbele ya Raila

NA KAMAU WANDERI MWANIAJI wa urais wa muungano wa Azimio-One Kenya, Bw Raila Odinga, anakabiliwa na kibarua kigumu kukabili uasi ambao...

Mgombea mwenza wa ugavana Mombasa alivyo na usemi mkuu

NA PHILIP MUYANGA UTEUZI wa mgombea mwenza wa ugavana Kaunti ya Mombasa ni suala zito ambalo yeyote anayewania ugavana lazima alitilie...

Mtihani mgumu kwa Orengo akilenga ugavana Siaya

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM chake mgombeaji urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga kinakabiliwa na kibarua kikubwa katika...

Kufeli kwa BBI pigo kwa Raila na Ruto

NA CHARLES WASONGA AILA KUZIMWA kwa mchakato wa marekebisho ya Katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI) kumeonekana kuvuruga zaidi mpango...

BBI sasa ni mjeledi wa Ruto kutandika Azimio

NA WANDERI KAMAU BAADA ya majaji wa Mahakama ya Juu kufutilia mbali Mswada wa Kurekebisha Katiba (BBI), Ijumaa, mswada huo sasa unaonekana...

Rais Uhuru alainisha baraza la mawaziri bila mbwembwe tele

NA WANDERI KAMAU HUENDA Rais Uhuru Kenyatta akakosa kuwateua mawaziri wengine kujaza nafasi zilizoachwa wazi na mawaziri waliojiuzulu...