• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 5:50 AM

KIGODA CHA PWANI: Hofu wanawake wakikosa kujitegemea kisiasa Pwani

NA FARHIYA HUSSEIN KILA mara chaguzi zinapozidi kukaribia, wanawake wengi nchini Kenya huwa wanajitokeza na kujitosa kwenye nyanja...

WALIOBOBEA: Muthaura alichapa kazi akaaminiwa na Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MAJINA ya wanaume na wanawake waliofanikisha utawala wa miaka kumi wa Rais Mwai Kibaki yanapotajwa, jina...

Kiini halisi cha wawaniaji kurukaruka

NA CHARLES WASONGA IMEBAINIKA kuwa hofu ya kushindwa katika kura za mchujo na mabadiliko kwenye ulingo wa siasa maeneo mbalimbali nchini...

Amerika, NATO hawatamuweza Putin kwa sasa

NA CHARLES WASONGA VIKWAZO ambavyo Mataifa ya Magharibi yamekuwa yakitekeleza dhidi ya Urusi ndani ya wiki moja iliyopita vitaathiri...

Mgogoro wa tiketi Azimio, raha kwa UDA

NA LEONARD ONYANGO MUUNGANO wa Azimio la Umoja wake kinara wa ODM Raila Odinga unakabiliwa na hatari ya kupoteza vigogo wakuu huku mvutano...

Kingi apata jukwaa kupaa na kuwa kiongozi wa taifa

NA PHILIP MUYANGA JE, kuwekwa saini kwa mkataba wa ushirikiano baina ya chama cha Pamoja African Alliance (PAA) na kile cha Jubilee...

Presha yamzidia Kalonzo aeleze msimamo upesi

NA BENSON MATHEKA PRESHA inaongezeka kwa Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka kufanya uamuzi kuhusu mwelekeo wake wa kisiasa huku uchaguzi...

JUKWAA WAZI: Murkomen ‘amkaribisha’ rasmi Natembeya siasani kwa mishale mikali

Na WANDERI KAMAU BAADA ya kutangaza kujitosa kwenye ulingo wa siasa mapema mwezi huu wa Januari, aliyekuwa Mshirikishi Mkuu wa eneo la...

KIGODA CHA PWANI: PAA yayumba kuhusu itakayeunga kwa urais

NA PHILIP MUYANGA JE, msimamo wa chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kuhusiana na uungaji mkono wa wagombeaji wa urais ni...

WALIOBOBEA: Beth Mugo: Aliacha alama katika sekta za Elimu, Afya

KWA HISANI YA KYB KABLA ya kujiunga na siasa ambako aliacha alama isiyoweza kufutika katika haki za binadamu na katika sekta za elimu na...

JUNGU KUU: Hatua ya Mudavadi inaweza kumponza

Na BENSON MATHEKA HATUA ya kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi kuungana na Naibu Rais William Ruto...

Ruto hatarini kwa ‘kubagua’ vyama vidogo Mlima Kenya

Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto anakabiliwa na kibarua kigumu kudumisha uungwaji mkono katika eneo la Mlima Kenya ielekeapo...