• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 10:50 AM

Kiini cha vyama vya Pwani kutovuma kitaifa

NA PHILIP MUYANGA Licha ya ukanda wa Pwani kuwa na takriban vyama vitano, hakuna chama ambacho kinaweza kujivunia kuwa kimekita mizizi...

Upweke wajaa Ford Kenya Olago naye aking’oka

NA CHARLES WASONGA MUSTAKABALI wa chama cha Ford Kenya uko hatarini kufuatia idadi kubwa ya wanachama wake wanaokihama na kujiunga na...

Mawaziri wanaootea siasa wana kibarua!

NA BENSON MATHEKA Huku Rais Uhuru Kenyatta akitarajiwa kubadilisha Baraza la Mawaziri wakati wowote wale wanaomezea mate viti vya...

Wazo la Raila laweza kuzima mzozo ndani ya Azimio

NA CHARLES WASONGA HUENDA mvutano ukatokea ndani ya vuguvugu la Azimio la Umoja kufuatia tangazo la kiongozi wa ODM Raila Odinga kwamba...

Sababu za Ahmed Khalif kuwa waziri kwa siku 20 pekee

NA KYB Ahmed Mohammed Khalif, aliyekuwa mbunge wa Wajir Magharibi alikuwa mbunge wa pekee kutoka eneo la Kaskazini Mashariki...

WALIOBOBEA: Kosgey; Waziri msiri na mwaminifu kwa Kibaki

KWA HISANI YA KYB MOJAWAPO ya sifa za Henry Kiprono Kosgey ni uaminifu na aliudumisha vilivyo. Na hii ni sifa ambayo Mwai Kibaki...

SOKOMOKO: Hii tufani ya Mudavadi ipo kweli ama ni majitapo tu?

Na BENSON MATHEKA KATIKA mashindano ya kisiasa hasa uchaguzi mkuu, maamuzi ya mtu na hatua anazochukua kuyafikia yanahitaji mikakati na...

Kauli za ‘wafia Ruto’ zinavyopunguza ufuasi wake Mlimani

NA WANDERI KAMAU UUNGWAJI mkono wa Naibu Rais William Ruto uko hatarini katika eneo la Mlima Kenya, kufuatia kauli za baadhi ya...

Undumakuwili wa Ruto huenda ukafifisha ari ya Mudavadi na Weta

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ameonekana kuweka masharti katika mipango yake ya kuunda muungano na kiongozi wa ANC Musalia...

Raila ‘adandia’ sifa ya Kibaki kukwea Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, atategemea msukumo wa “kivuli” cha Rais Mstaafu Mwai Kibaki kumsaidia kupenya...

Baraka za Joho kwa Nassir zinaashiria nini?

NA PHILIP MUYANGA UAMUZI wa gavana Hassan Ali Joho kumuunga mkono Bw Abdulswamad Nassir kumrithi kama gavana wa Mombasa unaonekana kutoa...

MIKIMBIO YA SIASA: OKA ni mnara mpya wa Babeli uchaguzi ukinukia

Na CHARLES WASONGA HATIMA ya muungano wa One Kenya Alliance (OKA) inaonekana kuyumba mwaka huu mpya na kudidimiza uwezekano wake wa...