• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 4:32 PM

Kananu kaangukia minofu kweli

Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Nairobi Ann Kananu Mwenda anaweza kufananishwa na mtu aliyeangukia kiti hicho kwa kuwa ndiye gavana wa pekee...

Hofu kuu ya Ruto ni kuibiwa kura 2022

NA BENSON MATHEKA Kila dalili zinaonyesha kuwa Naibu Rais William Ruto anahofia kwamba ataibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao....

JAMVI: ANC yatisha kujiondoa OKA ikiwa haitakuwa imeteua mgombeaji urais kufikia Desemba 25, 2021

Na CHARLES WASONGA WANDANI wa kiongozi wa Amani National Congress (ANC) wametisha kuwa chama hicho kitajiondoa kutoka muungano wa One...

Yanayomsubiri Ruto akifurushwa Jubilee

Na CHARLES WASONGA HISIA mseto zimeibuliwa kuhusu iwapo Naibu Rais Dkt William Ruto ataendelea kushikilia wadhifa huo endapo atapokonywa...

Mwamko mpya wanawake Pwani wakilenga ugavana

Na PHILIP MUYANGA KUONGEZEKA kwa idadi ya wanawake katika kinyang’anyiro cha ugavana eneo la Pwani kunaonyesha mabadiliko makubwa ya...

Wapinzani wa Ruto hawatambomoa mashinani kirahisi

Na BENSON MATHEKA WAPINZANI wa Naibu Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu wa 2022 wana kibarua kingumu kubomoa mtandao aliojenga kote...

Vyama vidogo kumeza wale watakaobwagwa katika kura za mchujo

Na LEONARD ONYANGO IDADI kubwa ya wanasiasa watakaoshindwa katika kura za mchujo za vyama mbalimbali vya kisiasa, watakosa fursa ya...

Muturi yuko ngangari kuwania urais

Na WACHIRA MWANGI SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi anasisitiza kuwa hatajiondoa kutoka kinyang’anyiro cha urais huku...

Walilia vijana kupiga Raila jeki kwa kujisajili kura

Na GEORGE ODIWUOR WASHIRIKA wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga, wamewalilia vijana wa Nyanza na Mlima Kenya,...

Seneta, mwanamke wazika tofauti zao

Na JAMES MURIMI SENETA wa Lamu Anwar Loitiptip na Joy Makena, mwanamke ambaye anadai alipigwa risasi Jumapili wiki jana, wamekubaliana...

EACC yaambia Waiguru ‘tuliza boli’

Na KNA Tume ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC), imepuuza madai ya Gavana Anne Waiguru wa Kirinyaga kwamba uchunguzi inaofanya...

Kesi dhidi ya Ruto kuhusu unyakuzi wa nyumba kuendelea

Na JOSEPH WANGUI MAHAKAMA kuu imeagiza kesi ya unyakuzi wa jumba la kifahari aliyoshtakiwa Naibu wa Rais, Dkt William Ruto miaka 13...