NA WALLAH BIN WALLAH NCHI tatu za Afrika Mashariki: Kenya, Uganda na Tanzania ni ishara ya mafiga matatu ya kuinjikia chungu...
NA PROF IRIBE MWANGI KATIKA diwani yake Kina cha Maisha, Said Ahmed ameandika shairi “Hatuzwi Mcheza Kwao.” Anwani hii ni kinyume...
NA CHRIS ADUNGO UKIITIKIA wito wa kuwa mwalimu, fahamu kwamba taifa lote la kesho linakutegemea. Jamii nzima huwa imekuamini na mtoto...
NA CHRIS ADUNGO CHAMA cha Uanahabari katika shule ya upili ya Mbirikene iliyoko Imenti Kaskazini, Kaunti ya Meru, kinashughulikia...
NA ENOCK NYARIKI KATIKA mazungumzo, kauli ‘kwa mpigo’ hutumiwa kwa maana ya ushindi mkuu au ushindi usiotarajiwa. Hivi ndivyo...
NA PROF IRIBE MWANGI ALHAMISI iliyopita niliandika kuhusu Kongamano la Kiswahili lililoandaliwa na Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili...
NA CHRIS ADUNGO ZAIDI ya kuwa na ujuzi wa kufundisha na kipaji cha kutumia vifaa mbalimbali vya ufundishaji, mwalimu bora...
NA CHRIS ADUNGO BAADA ya kukamilisha KCSE mnamo 2019, Kelvin Nyakundi alitamani sana kusomea uanahabari. Hiyo ni taaluma aliyovutiwa nayo...
NA NYARIKI NYARIKI KATIKA makala yaliyotangulia, tuliangazia sababu ambazo yamkini huwafanya watu kutumia neno ‘gwara’ kwa maana ya...
NA CHRIS ADUNGO KINACHOMTOFAUTISHA Bw George Kinyua na walimu wengine ni upekee na wepesi wake wa kutunga nyimbo rahisi zinazowezesha...
NA WALLAH BIN WALLAH USIPIGANE wala kupingana na mabadiliko maishani! Mabadiliko ni sehemu ya maisha duniani. Kila kitu...
NA CHRIS ADUNGO MATAMANIO ya Annette Odusi tangu utotoni yalikuwa kuwa mwimbaji maarufu wa nyimbo za mtindo wa kufokafoka. Kipaji cha...