• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:50 AM

Kidosho wa Kirinyaga aliyeapa ataolewa akiwa milionea akiri ‘alirambwa’ na dalali kibiashara

NA MWANGI MUIRURI  KATIKA kisa kinachoelezea jinsi madalali huvuna hela nyingi kutoka kwa wakulima, Julai 5, 2023 Grace Wangechi Kamande...

Atwoli asifu Rais Ruto kwa ‘kufanya maisha ya Kenya kuwa rahisi kuliko ng’ambo’

NA SAMMY WAWERU KATIBU Mkuu wa muungano wa kutetea wafanyakazi nchini (Cotu), Francis Atwoli amemtaja Rais William Ruto kama mmoja wa...

Didmus Barasa: Tulipopeleka Raila Bondo, tulipaswa kuweka simba mlangoni 

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kimilili, Didmus Barasa amezua ucheshi akidai kiongozi wa upinzani, Raila Odinga anapaswa kuwekewa simba...

KINAYA: Gachagua atawaweza nyuki wa Ukambani aliochokoza?

NA DOUGLAS MUTUA RIGGY G amechokoza nyuki wa Ukambani! Anawezaje kuwaambia wamteme mwana wao mpendwa, Kalonzo Musyoka, kama...

Ababu ataka wabaya wa Azziad wakome kuzua madai ya uongo dhidi yake

NA RICHARD MAOSI WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba amevunja ukimya na kuweka wazi kwamba kivyovyote vile, hayuko kwenye uhusiano wa...

Wafugaji ng’ombe wa maziwa Gatundu waelimishwa kuhusu manufaa ya upandikizaji wa mbegu

NA LAWRENCE ONGARO WAFUGAJI wa ng'ombe wa maziwa wapatao 500 kutoka Gatundu walikongamana kwa mkutano wa hamasisho kuhusu ufugaji ambapo...

Karen Nyamu: Kupata dhahabu ni rahisi kuliko mwanamume

NA SAMMY WAWERU SENETA maalum Karen Nyamu, amegeuka kuwa gumzo la mitandao ya kijamii kufuatia ujumbe tata alioandika kuhusu alichokuwa...

Bahati amkingia mkewe Diana dhidi ya kimbunga cha picha mitandaoni

NA RICHARD MAOSI MSANII Kevin Kioko almaarufu Bahati, amemkinga mpenzi wake Diana Marua, dhidi ya mashambulizi makali mitandaoni, kuhusu...

KASHESHE: Utalipia Sh50,000 kufuatilia maisha ya Akothee

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI na mfanyabiashara Esther Akoth almaarufu Akothee, ameibua gumzo mitandaoni baada ya kutangaza kuwa yeye na...

Karen Nyamu anavyotumia msanii Samidoh kuvuna umaarufu kisiasa  

NA SAMMY WAWERU SENETA maalum Karen Nyamu anaendelea kupata umaarufu, hasa kutokana na uhusiano wake kimapenzi na mwanamuziki wa...

Barobaro anavyounda hela kama njugu kupitia uchakataji mbegu za mafuta 

NA SAMMY WAWERU SIRI katika kilimo ni uongezaji thamani, kuchakata mazao ya shamba. Ikiwa safari yake katika kilimo cha mbegu za...

Mkenya aliyefariki katika ajali ya barabara Amerika alitarajia kuona mwanawe Februari 2024 akizaliwa

NA NYABOGA KIAGE BW Payne Isichi Muyale, Mkenya ambaye aliaga dunia Nchini Amerika ilikuwa imesalia miezi mitano pekee mtoto wake...