• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 3:19 PM

Mkenya aliyefariki katika ajali ya barabara Amerika alitarajia kuona mwanawe Februari 2024 akizaliwa

NA NYABOGA KIAGE BW Payne Isichi Muyale, Mkenya ambaye aliaga dunia Nchini Amerika ilikuwa imesalia miezi mitano pekee mtoto wake...

Stivo Simple Boy ajinyakulia kipusa kitu kipya, Wanja Kihii

NA RICHARD MAOSI BAADA ya kukataliwa na rapa Kaveve Kazoze, msanii Stivo Simple Boy kwa mara nyingine amechangamsha mtandao, kwa...

HABARI YA KIPEKEE: Mwanamume aliyejiteketeza kwa mafuta ya taa Mombasa alikuwa na maono kuwania ugavana au ubunge  

NA NYABOGA KIAGE MWANAMUME ambaye aliyejiteketeza kwa mafuta ya taa Mombasa alikuwa na ari kujiunga na ulingo wa siasa. Bw Robert...

KINAYA: Wenye hisa za Kenya wakate miti tusijinyonge!

NA DOUGLAS MUTUA HIVI una hisa za kumiliki Kenya au unatoka kabila ‘sosa’? Naambiwa umiliki wa nchi hii, ambayo inachukuliwa...

Gachagua ashambulia Raila akimtaja kuwa mwelekezi wa mawaziri wa utawala wa Kenyatta 

NA SAMMY WAWERU  NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amezidi kukosoa utawala wa Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, akisema awamu yake ya pili...

Gachagua kwa Odinga: Wewe ni raia binafsi asiyeweza hata kutoa amri ya uhamisho wa chifu 

NA SAMMY WAWERU  NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amemsuta kinara wa upinzani, Raila Odinga akimtaja kama ‘raia binafsi asiye na...

HABARI YA KIPEKEE: Maisha ya Robert Gituhu, mhandisi aliyejiteketeza kwa mafuta ya taa Mombasa

NA NYABOGA KIAGE BW Robert Gituhu, 28, mwanamme aliyejiua katika Kaunti ya Mombasa alikuwa mwanafunzi mwerevu shuleni na hata alipata...

Gachagua adai walinzi wa viongozi wa Azimio waliondolewa ili wawatwange wakati wa maandamano 

NA SAMMY WAWERU  NAIBU RAIS, Rigathi Gachagua amesema vinara wa upinzani watarejeshewa askari serikali itakaposhawishika wamekoma...

Pasta Ezekiel alivyodai wasanii wa Bongo Flava hawana ‘nyota’ ya ndoa

NA WINNIE ONYANDO MHUBIRI Ezekiel Odero, wakati wa mahubiri yake yaliyopeperushwa, aliwahi kudai kuwa baadhi ya wanamuziki wa Bongo Flava...

Serikali ya Ruto ni ‘chafu’, serikali za kaunti zisiige nyayo zake, Raila aambia magavana 

NA SAMMY WAWERU KINARA wa upinzani Raila Odinga amehimiza serikali za kaunti kuwa na misimamo dhabiti katika uongozi, ili kuafikia...

Gachagua: Kumeza ODM kama Jubilee kutatufanya tuumwe na tumbo

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameendeleza mashambulizi yake kwa chama kikuu cha upinzani, Orange Democratic Movement...

Mandago alivyomualika Gachagua kwa Kongamano la Ugatuzi Uasin Gishu asijue masaibu yaliyomsubiri  

NA SAMMY WAWERU KATIKA ziara ya Naibu Rais Rigathi Gachagua maeneo mbalimbali Kaskazini na Kusini mwa Bonde la Ufa mapema wiki hii,...